Saturday, July 27, 2013

MBUNGE JOSHUA NASARI MIKONONI MWA POLISI KWA TUHUMA ZA KUSHAMBULIA.

Habari zilizotufikia hivi punde nikwamba Polisi mkoani Arusha inamshikilia na kumhoji mbunge wa Arumeru Mashariki Mh.Joshua Nasari kwa tuhuma za kumshambulia Husein Warsama Julai 16 mwaka huu.

Kwa habari zaidi tutaendelea kuwaletea kadiri tutakavyokuwa tunazipata.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...