Thursday, July 4, 2013

RAIS MOHAMED MORSI WA MISRI APINDULIWA.

Jeshi la Misri limesitisha Katiba ya nchi hiyo na kumvua madaraka Rais Mohamed Morsi na kutangaza kuwa Jaji mkuu atashika hatamu za uongozi kwa sasa.
Baada ya mapinduzi hayo kufanyika,vyombo vya usalama vimemweka kizuizini Mohamedi Morsi.

Katika hatua nyingine kufuatia mapinduzi hayo,Rais Ballack Obama wa Marekani na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon wametaka utawala wa kiraia kurejeshwa haraka nchini humo.
Waasi wa Morsi wakishangilia baada ya Jeshi kutangaza kuondolewa kwa Rais madarakani.
Kwa habari zaidi juu ya mapinduzi hayo, endelea kutembelea blogu hii.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...