Thursday, July 18, 2013

HAPPY BIRTH DAY NELSON MANDELA (18,JULAI), ATIMIZA MIAKA 95 YA KUZALIWA..


Rais mtaafu wa Afrika Kusini Nelson Rolihlahla Mandela alizaliwa tarehe 18, Julai 1918 huko Mvezo Afrika Kusini na hii leo anatimiza umri wa miaka 95. Katika maisha yake ameweza kuoa wake watatu mpaka sasa wa kwanza ni Evelyn Ntoko Mase (1944–1957), wa pili ni Winnie Madikizela (1958–1996) na wa mwisho na ambaye anaendelea kuishi naye mpaka sasa ni Graça Machel (1998–present).

Uzazi wa Mzee Mandela ni wa watoto Madiba Thembekile,Makgatho Lewanika, Makaziwe, Maki,Zenani na Zindziswa.
Leo Afrika Kusini wanasherehekea kuzaliwa kwa Mandela na kutimiza umri wa miaka 95 ya kuzaliwa. Katika hatua nyingine Rais Obama wa M&arekani amemtumia salamu za pongezi na ameitaka dunia kuheshimu mchango wake.
Mzee Mandela  amekuwa Rais wa Afrika Kusini tangu 10, Mei 1994 – 14, Juni 1999 na ndiye Rais wa kwanza wa Asili ya Kiafrika kuongoza Afrika Kusini.
Kwa sasa Mzee Mandela bado amelazwa katika hospitali akiendelea na matibabu.

Na hii hapa ndiyo taarifa kamili ya Mandela.
Personal details
Born Rolihlahla Mandela
(1918-07-18) 18 July 1918 (age 94)
Mvezo, South Africa
Nationality South African
Political party African National Congress
Spouse(s) Evelyn Ntoko Mase (1944–1957)
Winnie Madikizela (1958–1996)
Graça Machel (1998–present)
Children Madiba Thembekile
Makgatho Lewanika
Makaziwe
Maki
Zenani
Zindziswa
Josina Z. Machel (step daughter)
Malengani Machel (step son)
Residence Houghton Estate, Johannesburg, Gauteng, South Africa
Alma mater University of Fort Hare
University of London External System
University of South Africa
University of the Witwatersrand
Religion Christianity (Methodism)
Signature Signature of 
Nelson Mandela
Website www.nelsonmandela.org

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...