Thursday, July 25, 2013

YANGA AFRICANS KINARA WA VIKOMBE VYA LIGI KUU TANZANIA BARA, SIMBA YAFUATIA TANGU 1965.

Timu ya Dar Young Africans ya Jijini Dar es salaam ni vinara wa kuchukua vikombe vya ligi kuu ya Tanzania bara tangu ianzishwe mnamo mwaka 1965 ikiwa itwaa kombe hilo mara 24 ikifuatiwa na Simba Sport club ambayo imeshatwaa taji hilo mara 18. Timu nyingine ambazo zimetwaa taji hilo ni Mtibwa  Sugar ambayo imeshatwaa taji hilo mara 2, Cosmopolitan mara 1, Mseto mara 1, Pan Africans mara 1, Tukuyu mara 1 na Coastal Union mara 1.
Simba sport club ndo ilikuwa ya kwanza kulichukua kombe hilo lilipoanzishwa mwaka 1965 wakati huo ikijulikana kama Sunderland.
Na hii hapa chini ni orodha nzima ya namna vikombe hivyo vilivyokuwa vikichukuliwa:-
  • 1965 Sunderland (Now Simba SC)
  • 1966 Sunderland
  • 1967 Cosmopolitan
  • 1968 Young Africans
  • 1969 Young Africans
  • 1970 Young Africans
  • 1971 Young Africans
  • 1972 Young Africans
  • 1973 Simba SC
  • 1974 Young Africans
  • 1975 Mseto SC
  • 1976 Simba SC
  • 1977 Simba SC
  • 1978 Simba SC
  • 1979 Simba SC
  • 1980 Simba SC
  • 1981 Young Africans
  • 1982 Pan Africans
  • 1983 Young Africans
  • 1984 Simba SC
  • 1985 Young Africans
  • 1986 Tukuyu Stars
  • 1987 Young Africans
  • 1988 Coastal Union
  • 1989 Young Africans
  • 1990 Simba SC
  • 1991 Young Africans
  • 1992 Young Africans
  • 1993 Young Africans
  • 1994 Simba SC
  • 1995 Simba SC
  • 1996 Young Africans
  • 1997 Young Africans
  • 1998 Young Africans
  • 1999 Mtibwa Sugar
  • 2000 Mtibwa Sugar
  • 2001 Simba SC
  • 2002 Young Africans
  • 2003 Simba SC
  • 2004 Simba SC
  • 2005 Young Africans
  • 2006 Young Africans
  • 2007 Simba SC
  • 2007/08 Young Africans
  • 2008/09 Young Africans
  • 2009/2010 Simba SC
  • 2010/2011 Young Africans
  • 2011/2012 Simba SC
  • 2012/2013 Young Africans

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...