Wednesday, July 24, 2013

KAULI YA ZITTO KABWE ASUBUHI YA LEO.

 
Shilingi 1.9 trilioni zilitumika kuendesha magari ya Serikali (mafuta, vipuri, services etc) kati ya mwaka 2009/20 - 2012/13. Mwaka 2012 Juni, thamani ya magari yote ya Serikali ilikuwa tshs 5 trilioni.
Hili ni eneo ambalo tukiwa na dhamira ya kweli tunaweza kupunguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya Serikali. Ukiona msururu wa Magari ya Serikali, mashangingi, hutadhani upo kwenye nchi yenye watu masikini kiasi hiki.
 chanzo: Zitto Social media.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...