Friday, July 5, 2013

GIGGS APEWA UKOCHA MAN UNITED, CAMEROON YASIMAMISHWA UANACHAMA WA FIFA.


Mchezaji kiungo mkongwe wa Manchester United ameteuliwa na Meneja mpya wa timu hiyo David Moyes kuwa kocha - mchezaji wa timu hiyo ya Old Trafford kuanzia jana.
Na hii hapa ni wasifu wa Giggs kisoka:-
Personal information
Full name Ryan Joseph Giggs
Date of birth 29 November 1973 (age 39)
Place of birth Cardiff, Wales
Height 1.79 m (5 ft 10 in)
Playing position Midfielder
Club information
Current club Manchester United
Number 11
Youth career
1985–1987 Manchester City
1987–1990 Manchester United
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
1990– Manchester United 660 (114)
National team
1989 England U16 1 (1)
1989 Wales U18 3 (0)
1991 Wales U21 1 (0)
1991–2007 Wales 64 (12)
2012 Great Britain 4 (1)
* Senior club appearances and goals counted for the domestic league only and correct as of 15:30, 26 May 2013 (UTC).
† Appearances (Goals).
‡ National team caps and goals correct as of 20:55, 20 July 2012 (UTC)

Katiak hatua nyingine,FIFA imeisimamisha Cameroon uanachama ikidai kuwa soka la nchi hiyo linavurugwa na Serikali kwa kuingia mambo ya michezo.Uamuzi huu utaathiri ushiriki wao katika Kombe la Dunia 2014.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...