Tuesday, July 30, 2013

HIVI NDIVYO RAIS KIKWETE ALIVYOHITIMISHA ZIARA YAKE MKOANI KAGERA.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia maelefu ya wananchi wa mkoa wa Kagera waliofurika katika uwanja wa michezo wa Kaitaba kumsikiliza siku ya mwisho ya ziara yake ya siku sita mkoani humo.

Rais Jakaya Kikwete akitawazwa kuwa Omukama (Chifu) wa Missenyi wakati wa ziara yake ya siku sita mkoani Kagera. Anayemsimika ni kiongozi wa wazee wa Missenyi, Mzee Ernest Babeiya.

Kwa heshima kubwa Rais Jakaya Kikwete akivishwa uchifu.PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...