Monday, July 1, 2013

BRAZIL MABINGWA WA KOMBE LA MABARA ,NEYMAR MCHEZAJI BORA.

Kombe la Mabara limeitimishwa rasmi usiku wa kuamkia leo baada ya Brazil kutwaa taji hilo kwa kuwachapa Hispania magoli 3-0. Magoli ya Brazil yalifungwa na Frederico Chaves Guedes (Fred) dakika ya 2 na 47 huku na Neymar da Silva Santos  akifunga dakika ya 44.
Kukamilika kwa mashindano hayo tuzo mbali mbali zilitolewa kama ifuatavyo:-
Mchezaji Bora - Neymar da Silva Santos
Kipa bora - Julio Cesar
Mfungaji bora - Fernando Torres
Timu yenye nidhamu - Hispania (Licha ya kadi nyekundu ya Pique)

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...