Friday, August 30, 2013

WAZIRI MKUU MH.MIZENGO PINDA AANZA ZIARA YA SIKU TATU MKOANI TABORA.

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na viongozi wa dini wa mkoa wa Tabora baada ya kuwasili kwenye  uwanja wa ndege wa Tabora kwa ziara ya siku tatu mkoani humo.
Waziri Mkuu Mh.Mizengo Pinda ameanza ziara ya siku tatu Mkoa Tabora.Katika ziara hiyo ameambatana na Waziri wa Maliasili na Utalii Mh.Khamisi Kagasheki pamoja na Mh.MERY NAGU.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...