Sunday, August 18, 2013

WAHAMIAJI HARAMU 8,666 WAREJEA MAKWAO MKOANI KAGERA, CHELSEA 2 - HULL 0.

Kutoka Kagera.
Serikali Mkoani Kagera imesema mpaka sasa wahamiaji haramu wapatao 8,666 wameshaondoka na kurejea nchini kwao ambapo kati yao 500 ni Waganda na silaha zipatazo 43 zimesalimishwa.

Kutoka Uingereza
 Katika Ligi kuu ya Uingereza,Tottenham 1 - Crystal Palace 0
wakati katika mtanange kati ya Chelsea vs Hull City matokeo ni Chelsea 2 - Hull 0

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...