Monday, August 19, 2013

SHEIKH PONDA AFIKISHWA MAHAKAMANI MOROGORO,WAKURUGENZI DECI HATIANI.

PONDA MAHAKAMANI MOROGORO:
Sheikh Issa Ponda amefikishwa Mahakamani Mkoani morogoro chini ya ulinzi mkali wa Polisi huku akiwa amesafirishwa kwa Helikopta ya polisi kutoka Jijini Dar.
Akiwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro amesomewa mashitaka 3 likiwemo la kutaka kuvuruga amani.Mashitaka yote ameyakana na amenyimwa dhamana na kurudishwa rumande.

WAKURUGENZI WA DECI:
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewatia hatiani wakurugenzi 4 wa Kampuni ya DECI kwa tuhuma za kuendesha upatu bila leseni huku mmoja aachiwa huru.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...