Thursday, August 15, 2013

TANGAZO LA USAILI WA ANA KWA ANA UTUMISHI

Tangazo la Usaili wa ana kwa ana kwa  kada ambazo Usaili wake utafanyika  katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni tarehe 15 na 16 Agosti, 2013.
Mnajulishwa kwamba wasailiwa wa kada zifuatazo usaili wake utafanyika katika Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Kigamboni Dar es Salaam kuanzia saa moja kamili asubuhi kama ratiba ya Usaili Inavyoonyesha.

15 Agosti, 2013

1.    Mchambuzi Mifumo ya Kompyuta
2.    Mwenyekiti wa Baraza la Nyumba
3.    Msaidizi wa Mthamini Jiolojia
4.    Nahodha na
5.    Afisa Vipimo

16 Agosti, 2013.
1.    Fundi Sanifu Haidro jiolojia
2.    Mthamini
3.    Mjiolojia
4.    Mkadiriaji Ujenzi na
5.    Afisa Sheria

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Ofisi ya Raisi Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma  14/08/2013.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...