Wednesday, January 16, 2013

OKWI HUYOOOOOOO TUNISIA


Picha ya Okwi akiwa anamiliki mpira.
  Emmanuel Okwi 
Hi guys thanks to God the deal is done.. Am officially a player of Etoile Sportive Du Sahel, it's really a new challenge and a big step for me in my carrier.. Let me take this chance to thank all Simba fans and officials for the support u gave me.. U were really special to me, god bless u all.. Alluta continua..
Hayo ni maneno yake Okwi aliyoyaandika katika ukurasa wake wa Facebook. 
Na kwa upande wa Simba sport club,kutokana na taarifa walizozisambaza kwa wapenzi wa timu hiyo kwa njia ya ujumbe mfupi leo hasubuhi ni kama ifuatavyo:  
"Hatimaye uongozi wa klabu ya Simba umetangaza kumuuza mshambuliaji wake Mganda Emmanueli Okwi kwa klabu ya Eoile du sahel ya Tunisia kwa ada ya dola laki 3" 
Namtakia kila la kheri huko aendako.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...