Thursday, January 31, 2013

HABARI ZILIZOVUNJIKAVUNJIKA:JAHAZI SUNRISE YAZAMA NUNGWI ZNZ

Jahazi SUNRISE ambayo ilikuwa ikitokea Mkoani Tanga kulekea visiwani Zanzibar ikiwa na abiria 32 imezama eneo la Nungwi huku jitihada za kuwaokoa abiria hao zikiendelea kufanywa na maofisa wa uokoaji mpaka sasa.
Kwa habari zaidi fuatilia hapa hapa.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...