Monday, January 21, 2013

UKUTA WA KITUO CHA MABASI UBUNGO WAANGUKIA MAGARI ZAIDI YA 24.
Muonekano wa namna ukuta ulivyoangukia magari
Katika hali ya kushangaza,magari zaidi ya 24 yameangukiwa na ukuta wa stendi ya mabasi Ubungo wakati mkandarasi akijaribu kubomoa ukuta huo kwa matengenezo.
Gari aina na suzuki likiwa nyang'anyang'a

Chanzo cha habari hii kinasema kuwa inasemekana kuna na majeruhi waliotokana na ajari hiyo.
Baadhi ya wakazi wa Dar wakiwa wanashangaa ajari ilivyotokea.

Gari ndogo ikiwa hoi bini taabani.
Swali langu hapa ni "nani atakayewajibika na fidia?"


No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...