Wednesday, January 30, 2013

WATUMISHI WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII WAPATA AJALI

Gari la Wizara lililopinduka

Watumishi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wapata ajali kilometa ishirini kabla ya kufika mkoa wa Dodoma wilaya ya Bahi,ajali hiyo ilisababishwa na cheni ambayo ilitumika kuwavuta maafisa wengine waliokwama wakiwa safarini kuelekea mkoani Mara (Musoma) kwa ajili ya kuendesha mafunzo ya MTUHA,hali za watumishi (Enock Mhehe,Shoo,Mtimbika na Muhasibu kutokea Singida) zinaendelea vizuri baada ya kupata matibabu Hospitali ya mkoa Dodoma na kurushusiwa kuendelea na safari.

Magari yaliyopata ajali

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...