Thursday, April 17, 2014

Updates: AJALI YA MELI KOREA KUSINI, 179 WAOKOLEWA.

Watu 179 waokolewa mpaka sasa huku karibu watu 300 hawajulikani walipo baada ya meli iliyobeba abiria 470 kuzama jana. Maofisa wasema watu 9 wamepoteza maisha mpaka sasa.

Kwa habari zaidi endelea kutembelea blogu hii.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...