Friday, April 11, 2014

ALICHOSEMA ZITTO KABWE JUU YA IPTL NA FEDHA ZILIZOCHOTWA BOT.


Suala la IPTL na fedha $122m zilizochotwa BoT linachunguzwa na CAG (ukaguzi maalumu) na PCCB (forensic investigatio). Kamati ya PAC iliagiza ukaguzi na uchunguzi huo na itapokea taarifa, kuhoji wahusika na kuwasilisha Taarifa Bungeni kwa maamuzi. 
Kamati ya Nishati na Madini haina mamlaka yeyote kwa mujibu wa Kanuni za Bunge kushughulika na suala hili mpaka hapo taarifa ya uchunguzi itakapotoka. 
Ni busara ya kawaida kabisa kwamba mkutano kati ya Jukwaa la Wahariri na Watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini kuhusu suala hili ungesubiri matokeo ya uchunguzi. Inawezekana wizara inalo la kueleza, ikaeleze kwa CAG na PCCB.
 Source: Zitto Social media.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...