Wednesday, April 16, 2014

Breaking news: MELI YAZAMA

Meli yenye abiria 450 wengi wao wakiwa wanafunzi imezama karibu n Pwani ya Korea Kusini usiku wa kuamkia leo. Watu 56 wameokolewa mpaka sasa.
Kwa habari zaidi juu ya tukio hili endelea kutembelea blogu hii.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...