Monday, October 7, 2013

WAZIRI WA MAJI PROF.JUMANNE MAGHEMBE ATEMBELEA MORUWASA NA KUKAGUA MIRADI YA MAJI MOROGORO.

Prof.Jummanne Mghembe- Waziri wa Maji akiingia katika Ofisi za MORUWASA.

Prof.Maghembe akiwa katika viwanja vya MORUWASA

Prof.Maghembe akiwa na Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro wakisikiliza taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa MORUWASA.

Mkurugenzi Mtendaji wa MORUWASA Ndg.John K. Mtaita akimsomea taarifa Waziri wa Maji katika Ofisi za MORUWASA.


Prof. Maghembe akiongea na Wafanyakazi wa MORUWASA

Prof.Maghembe akiwa Bwawani Mindu ambalo ni chanzo kikuu cha maji kwa wakazi wa Manispaa ya Morogoro kwa Zaidi ya asilimia 70.

Bwawa la Mindu likiwa limepungua maji kwa kiasi kikubwa kiasi cha wakazi wa Morogoro kupata maji kwa mgao.

Prof.Maghembe akiwa katika kituo cha kutibia maji cha Mafiga na kupokea taarifa kutoka kwa Meneja ufundi wa MORUWASA Eng. Halima Mbiru

Prof.Maghembe akisikiliza maelezo kutoka kwa Mtaalam Mshauri wa Kampuni ya Nichoraus O'Duaye wanaosimamia ukarabati wa miundimbinu ya maji ya MORUWASA chini ya mradi wa MCA-T

Waziri wa Maji Prof. Jumanne Maghembe akiwa katika chanzo cha maji cha Mambogo.

Prof. Maghembe akikagua ukarabati unaoendelea katika chanzo cha Mambogo

Tenki la Maji jipya lililojengwa katika kituo cha mambogo kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji kwa wakazi wa Kilakala, Forest na Kigurunyembe.

Waziri wa maji akizindua mradi wa maji wa Kiegeya "A"

Mkurugenzi mtendaji wa Manispaa ya Morogoro Ndg. Javis Simbeye akitoa taarifa kwa Waziri wa maji kuhusu mradi wa Maji wa Kiegeya "A"

Prof. Maghembe akitoa maelekezo kwa kamati ya maji ya mradi wa Kiegeya "A"

Afisa wa maji Bonde la Wami/Ruvu Ndg.Praxeda Kalugendo akisikiliza maagiza ya waziri wa maji.

Prof. Maghembe akitembelea mabwawa ya majitaka ya viwanda yaliyokuwa chini ya TLAI

Prof.maghembe akiwa katika Mabwa ya majitaka ya Mafisa yanayomilikiwa na MORUWASA yanayotibu na kusafisha majitaka yote ya Manispaa ya Morogoro.

Mkurugenzi wa MORUWASA akimueleza waziri jinsi mabwawa ya majitaka yanavyofanya kazi.

Waziri wa maji akiwa Mabwawa ya majitaka ya Mafisa.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...