Thursday, October 17, 2013

ZITTO KABWE AVIJIBU VYAMA VYA SIASA VINAVYOMUANDAMA KUHUSU KUKAGULIWA HESABU ZAO.

 Zitto Zuberi Kabwe hii leo ametoa ufafanuzi wa kile kinachoongelewa na vyama vya Siasa hapa nchini juu ya kukaguliwa mahesabu ya ruzuku kama ifuatavyo:-
"Vyama vya siasa kunishambulia sio jibu la matakwa ya kisheria ya kutaka vikaguliwe. Msajili wa vyama hana taarifa za ukaguzi. Nape anapiga kelele kuwa wamekaguliwa, anafanya siasa kwenye masuala ya kisheria. Kama anazo taarifa za ukaguzi zilizokaguliwa na CAG apeleke kwa Msajili sio kupiga kelele. Mimi nafuata sheria na kanuni za Bunge zinazotaka kusimamia matumizi ya fedha za umma. Ruzuku ni fedha za umma."
Chanzo: Zitto Social media.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...