Wednesday, October 9, 2013

NIA YA ZITO KABWE KUTAJA MSHAHARA WA RAIS NA MAKAMU WA RAIS, TAR. 13.10.2013 HUKO IGUNGA.

 
Mishahara ya Viongozi wa Umma lazima iwe wazi kwa umma. 
Sheria za Mishahara ziweke wazi kabisa kuwa mishahara hii itakuwa wazi na itakatwa kodi. Juzi Mpanda nimewaambia wananchi Mshahara wa Waziri Mkuu wa Tanzania kwa mwezi. 
Nikiwa Igunga mnamo tarehe 13 Oktoba tutawaambia wananchi mshahara wa Rais na Makamu wa Rais.
 Iwapo Rais wa marekani mshahara wake na mapato yake ni wazi na unakatwa kodi, iweje Rais wa nchi ndogo kama Tanzania. Wameifungia Mwananchi kwa kutaja viwango vya mishahara ya watumishi wa Umma. Wamfungie Mbunge kama wanaweza.
cHANZO: Zitto Kabwe Social Media.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...