Sunday, October 13, 2013

LEO NI LEO IGUNGA, ZITTO KABWE KUTAJA MSHARA WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Kama alivyoahidi Mbunge wa Kigoma Mashariki Mh.Zitto Zuberi Kabwe, leo anafanya mkutano na wakazi wa Wiraya ya Igunga na ameeleza kuwa miongoni wa mambo anayotarajia kuyaongelea leo ni pamoja na mshahara wa Rais na haya nai maneno yake mwenyewe:-
"Baada ya mafanikio makubwa sana katika jimbo la Nzega, leo tunaelekea Igunga. Pamoja na mambo mengine tutawaambia Watanzania ulazima wa mapato ya viongozi wa umma kuwa wazi na kutozwa kodi. Tutataja mshahara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Chanzo: Zitto Social media.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...