Thursday, December 20, 2012

UHABA WA MAJI MOROGORO
Bomba kubwa lenye kipenyo cha 16" sawa na 400mm limepasuka eneo la Msamvu stendi ya Dodoma karibu na kituo cha kusambaza umeme.Ingawa juhudi za kurejesha huduma ya maji kwa wakazi wa manispaa ya Morogoro zikiwa zinaendelea lakini changamoto nikwamba bomba hilo limekatiza barabara kuu ya kuelekea Dodoma ambayo ni ya lami,hivyo namna ya kuchimba inakuwa vigumu.


Akiongea kutokea eneo la tukio,kaimu Mhandisi wa usambazaji na matengenezo Bw.William Mbilizi alisema kuwa matengenezo hayo yanaweza kukamilika ndani ya siku 2.





No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...