Friday, December 21, 2012

CHADEMA WAZIDI KUCHANJA MBUGA,GODBLESS LEMA ASHINDA RUFAA.



  Mbunge wa Arusha mjini Godbless lema ameshinda rufaa yake ya ubunge chini ya wakili wake Vitalisi Kimomogoro,rufaa hiyo iliyokuwa inasikilizwa mahakama kuu ya rufaa jijini Dar es salaam.

Ikumbukwe kuwa Mheshimiwa Lema alisimamishwa ubunge wake kupitia kesi iliyofunguliwa kwa madai kwamba wakati wa kampeni zake zilizoendeshwa wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 alitoa lugha isisiyotakiwa kwa mgombea wa CCM.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...