Friday, February 14, 2014

VIWANGO VYA FIFA VYA SOKA DUNIA, TANZANIA YAPANDA NAFASI 2.

Last Updated 13 Feb 2014
Next Release 13 Mar 2014
RnkTeamPts+/- Pos
1 Spain15060Equal
2 Germany13140Equal
3 Argentina12550Equal
4 Portugal12191Up
5 Colombia1211-1Down
6 Switzerland11592Up
7 Uruguay1157-1Down
8 Italy1135-1Down
9 Brazil11251Up
10 Netherlands1122-1Down
11 Belgium11170Equal
12 Greece10840Equal
13 USA10441Up
14 Chile10381Up
15 England1032-2Down
16 Croatia9660Equal
17 Bosnia and Herzegovina9192Up
18 Ukraine9170Equal
18 France9172Up
20 Denmark9075Up
21 Mexico8870Equal
22 Russia8620Equal
23 Côte d'Ivoire841-6Down
24 Ecuador831-1Down
25 Sweden8211Up
26 Algeria8191Up
27 Slovenia7992Up
27 Cape Verde Islands7998Up
29 Serbia7751Up
30 Armenia7718Up

Monday, February 10, 2014

SCHOLARSHIPS FOR PhD AND MASTERS - MZUMBE UNIVERSITY.

Tianjin Government Scholarship (TGS) for International Students in China, 2014.

Tianjin Government is offering scholarship for international students for pursuing undergraduate, masters and doctoral program in Tianjin. Applicants for undergraduate program must have senior high school diploma with good academic performance and be under the age of 30. Applicants for master’s degree programs must have a bachelor degree and be under the age of 35 with two letters of recommendation from professors or associate professors. Applicants for doctoral degree programs must have a master degree and be under the age of 40 with two letters of recommendation from professors or associate professors.
Study Subject (s): Scholarships are awarded to learn any of the courses offered by the universities of Tianjin.
Course Level: Scholarships are available for pursuing undergraduate, masters and doctoral degree at universities of Tianjin.
Scholarship Provider: Tianjin Government, China
Scholarship can be taken at: China
Eligibility:

SHORT-COURSE TRAINING ON Integrated Food Management: “Farm to Fork”

Baada ya Yanga kushinda 7-0 na Azam FC yaanza vyema CAF, yairarua Ferroviario 1-0

IKICHEZA mchezo wa kimataifa kwenye uwanja wake wa nyumbani kwa mara ya kwanza katika historia yake AzamFC jana imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji katika mchezo wa kwanza wa Raundi yaAwali Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam jana jioni.

JOB OPPORTUNITIES - THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR, DEADLINE FEB,19.

Friday, February 7, 2014

KUMBE MH. ZITTO KABWE NI MWALIMU, LEO AFUNDISHA SHULE YA MSINGI MUUNGANO - UJIJI KIGOMA.

Mh.Zitto akifundisha Hisabati
Katika juhudi za Ufuatiliaji wa vitabu vya 'change ya radar' shule ya msingi Muungano, Manispaa ya Kigoma-Ujiji. Baadhi ya vitabu watoto wamepata Leo asubuhi (Jiografia darasa la saba). 

BUNGE LA KATIBA KUANZA VIKAO FEBRUARI, 18.

Rais Jakaya Kikwete (wa pili kushoto), akizungumza na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa baada ya kuhutubia mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa Dar es Salaam jana. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Katibu Mkuu wa CUF,  Maalim Seif Sharrif Hamad na kushoto ni Mwenyekiti wa baraza hilo, Peter Mziray. 



Rais Jakaya Kikwete ametangaza kuwa Bunge Maalumu la Katiba litaanza Februari 18 mwaka huu huku akiwataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kuweka mbele masilahi ya Taifa na siyo ya vyama vyao.
Rais Kikwete alisema wajumbe 640 wa Bunge hilo wengi ni wafuasi wa vyama vya siasa, hivyo wanatakiwa kukubaliana kwa hoja badala ya kila upande kuvutia kwake.
Aliwaonya pia wanasiasa kutokazania suala la muundo wa Muungano peke yake, bali waangalie na masuala mengine yaliyomo kwenye rasimu hiyo ambayo ni muhimu kwa Taifa.
Bunge la Katiba linafanyika baada ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kukamilisha kazi yake ya miezi 20 kukusanya maoni ya wananchi na kuandaa Rasimu ya pili Katiba ambayo ilitolewa Desemba 30, mwaka jana.
Akizungumza na viongozi mbalimbali wa vyama hivyo jana katika mkutano wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini, Rais Kikwete alisema kama wanasiasa wakikubaliana, hakuna mwananchi yeyote atakayepinga uamuzi utakaopitishwa na Bunge hilo.
“Nimeshauriana na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein kuwa Bunge Maalumu la Katiba lianze vikao Februari 18, mwaka huu. Bunge hili litafanyika kwa siku 70 na kama mambo yatakuwa hayajamalizika zinaweza kuongezwa siku 20,” alisema Rais Kikwete.

Thursday, February 6, 2014

MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA BAADA YA MICHEZO YA JANA.

Vodacom Premier League VPL 2013/2014
Rank
Teams
PlayedWinsDrawLostGDGoal scorePoints
1Azam FC161060192936
2Yanga SC161051223435
3Simba SC16871183231
4Mbeya City1687192131
5Mtibwa Sugar1657412022
6Kagera Sugar1656501521
7Coastal Union16310331119
8Ruvu Shooting1547401619
9JKT Ruvu15609-61318
10Ashanti UTD16349-141413
11Rhino Rangers16268-91112
12JKT Oljoro16268-141212
13Prisons FC14176-10610
14Mgambo Shooting162410-19710

NAIBU WAZIRI WA MAJI MH. AMOS MAKALA AKAGUA MIRADI YA MAJI MOROGORO.

Naibu Waziri Mh.Amos Makala akiongea na wafanyakazi wa MORUWASA
Naibu Waziri wa Maji Mh.Amos Makala jana ameanza zira ya siku 4 ya kukagua miradi ya maji katika Mkoa wa Morogoro. Naibu waziri ameongelea zaidi juu ya Wakandarasi waliopewa kazi ya ujenzi wa Miradi ya maji na wakashindwa kuikamilisha kwa wakati huku wakitoa visingizio amewaagiza awakute katika vituo vyao vya kazi tofauti na hapo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Kuhusu changamoto zinazoikabili Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Naibu waziri ameahidi kutoa ushirikiano ili wakazi wa Manispaa ya Morogoro waweze kupata huduma ya maji ya kutosha.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa MORUWASA alimueleza Naibu Waziri kuwa MORUWASA inakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo kuongezeka gharama za uendeshaji kutokana na kupanda gharama za umeme, gharama za madawa, pia upungufu wa maji katika vyanzo vya maji kutokana na uchafuzi wa mazingira. Hata hivyo, pamoja na changamoto hizo Kaimu Mkurugenzi huyo alimuambia Naibu Waziri kuwa MORUWASA inajitahidi kutoa huduma kwa wakazi wa Morogoro.

Wednesday, February 5, 2014

Azam FC kucheza mechi za kimataifa Azam Complex Chamazi.


Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF leo tarehe 31 Januari 2014 limeupa kibali cha kuchezea mashindanoya kimataifa yanayoandaliwa na CAF uwanja wa Azam Complex Chamazi na kuufanya uwanja wa kwanzaunaomilikiwa na klabu Afrika Mashariki  kuruhusiwa kuandaa (ku-hostmashindano makubwa ya vilabu

Tuesday, January 28, 2014

DR. REGINARLD MENGI AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CCM KINANA

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dr.Reginarld Mengi (kushoto), Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo.

The Journal of Continuing Education and Extension (JCEE).

Matokeo ya usaili wa Mchujo-Kibaha Education Centre-28 Jan, 2014

Usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 29 Januari, 2014 Kituo cha elimu Kibaha (KEC)- Kibaha.
Wasailiwa wanatakiwa kufika saa moja kamili asubui wakiwa na nakala halisi za vyeti (Original Certificates)
 EXAMINATION RESULTS FOR EDUCATION OFFICER II - CHEMISTRY KEC          

      EXAMINATION NO.                                SCORES    REMARKS

1    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 021          64       SELECTED
2    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 026          60       SELECTED
3    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 029          59       SELECTED
4    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 019          50.5    SELECTED
5    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 018          45       NOT SELECTED
6    PSRS EDUC OFF II CHEM KEC - 024          39       NOT SELECTED

MJASIRIAMALI WA SABUNI ZA MAJI ATIMKA NA MILIONI 30 ZA VODACOM

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akisisitiza jambo kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani)kuhusiana napromosheni hiyo ilivyobadilisha maisha ya wateja wao na watanzania kwa ujumla,mara baada ya kumtangaza mshindi wa droo kubwa ya mwezi ya"promosheni ya Timka na Bodaboda" Bi.Jovita Mosha(44)mkazi wa Ubungo external jijini Dar es Salaam aliyeibuka na kitita cha shilingi Milioni 30.

JOB VACANCIES - TCRA.

RAIS AAMURU JESHI KUSIMAMIA UTOAJI HUDUMA KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO MOROGORO

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua Daraja la Mto Mkundi mkoani Morogoro linalokarabatiwa baada ya kuharibiwa na mafuriko hivi karibuni.Rais Kikwete alitembelea eneo hilo na sehemu nyingine zilizokumbwa na mafuriko hayo kujionea uharibifu. Picha na Freddy Maro wa Ikulu.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi la Ulinzi na
Usalama, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameliamuru Jeshi la Wananchi wa
Tanzania (JWTZ) kuanza mara moja kazi ya kusimamia utoaji huduma kwa watu
walioathiriwa na mafuriko katika Mkoa wa Morogoro, ikiwa ni pamoja na kusimamia
ujenzi wa nyumba za muda wa wahanga hao.

JOB VACANCIES - POSTAL BANK, DEADLINE 31st JAN,2014.

JOB VACANCIES - THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA.

Wednesday, January 22, 2014

JOB OPPORTUNITY - TBS.


JOB OPPORTUNITY.
Tanzania Bureau of Standards is pleased to announce the following vacant position which is a one year contract for prospective and potential candidates to apply. The contract is renewable upon satisfactory performance.
  1. JOB TITLE : QUALITY ASSURANCE OFFICER II ( ELECTRICAL ENGINEERING)
 Qualifications and Experience
  • BSc in Electrical Engineering from a recognized institution of higher learning
  • A MSc. in Electrical Engineering will be an added advantage
  • Two years experience in testing of samples in laboratory.
  • Computer knowledge is an essential requirement
  • Age limit: Not exceeding 30 years.

Tuesday, January 14, 2014

Ronaldo Mchezaji bora wa dunia 2013.

Christian Ronaldo
Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo jana usiku alinyakua tuzo ya mchezajii bora wa soka wa fifa wa mwaka 2013 na kuwashinda Lionel Messi wa Barcelona na Frank Ribery wa Bayern Munich.
Ronaldo ambaye alinyakuwa tuzo hiyo ya mchezaji bora wa dunia kwa mara kwanza mwaka 2008 alitangazwa kunyakua tuzo mwaka 2013 baada ya kupigiwa kura na makocha, manahodha na waandishi wa habari.
Kwa mujibu wa matokeo Ronaldo alipata kura 1365 akimshinda Messi aliyepata kura 1,205 na Ribery akiambulia kura 1,127.
Kwa upande wa wanawake golikipa wa Ujerumani Nadine Angerer alinyakuwa tuzo ya fifa ya mchezaji bora wa soka kwa upande wanawake huku aliyekuwa kocha wa Bayern Munich Jupp Heynckes akinyakua tuzo ya kuwa kocha bora wa dunia.

Sunday, January 12, 2014

TANGAZO LA SKOLASHIPU ZILIZOTOLEWA NA SERIKALI YA INDONESIA KWA TANZANIA KWA MWAKA 2014/2015.

Serikali ya Tanzania imepokea mwaliko wa Skolashipu kutoka kwa Serikali ya Indonesia kwa mwaka 2014/2015. Skolashipu hizo ni kwa kipindi cha kati ya miezi sita na/au mwaka mmoja.

Wadau wote, raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wenye sifa wanashauriwa wasome mwongozo na wajaze fomu za maombi zinazopatikana kwenye Mtandao wa Serikali ya INDONESIA ufuatao ”http://darmasiswa.kemdiknas.go.id ”

Fomu za maombi zilizokamilika kujazwa pamoja na viambatisho vilivyoainishwa ziwasilishwe kwenye Ubalozi wa Indonesia hapa Tanzania kabla ya tarehe 24/01/2014.

Katibu Mkuu,
Wizara Ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,
S. L. P 9121,
DAR ES SALAAM

SCHOLARSHIPS - WIZARA YA AFYA.

Waziri wa serikali Libya auawa


Naibu Waziri wa viwanda nchini Libya ameuawa kwa kupigwa risasi wakati alipokuwa ziarani mjini Sirte Mashariki mwa Tripoli ambako alizaliwa.

Thursday, January 9, 2014

JOB VACANCIES - MKAPA HIV/AIDS FOUNDATION.

KUITWA KWENYE USAILI UTUMISHI


BOFYA HAPA

TANGAZO LA KAZI UTUMISHI.

BOFYA HAPA

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KUTOKANA NA HITIRAFU YA UMEME - MOROGORO.

Wananchi wakiwa wanajaribu kuvunja dirisha ili waweze kuzima moto .

Nyumba moja ailiyotambulika kuwa mmiliki wake ni Mama Mkambala mtaa wa Uhuru Manispaa ya Morogoro, jana jioni iliteketea kwa moto baada ya kutokea hitirafu ya umeme. Kutokana na juhudi zilizofanywa na Wananchi kwa kushirikiana na Kikosi cha zima moto, moto uliweza kudhibitiwa usiweze kusambaa kwenye nyumba za jirani. Katika kazi hiyo ya kuzima moto changamoto ilikuwa ni namna ya kuingia ndani ya nyumba baada ya nyumba hiyo kuwa imefungwa.
Hata hivyo, thamani halisi ya mali zilizoteketea bado haijafahamika na hakuna majeruhi yeyote kutokana na moto huo.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...