Showing posts with label AFYA NA MAZINGIRA. Show all posts
Showing posts with label AFYA NA MAZINGIRA. Show all posts

Wednesday, November 14, 2012

HALI YA VITUO VYA AFYA MOROGORO





HALI YA VITUO VYA AFYA MOROGORO
Sabasaba ni kituo cha afya kilichofunguliwa 2.11.1973 na waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndg.Rasid M.Kawawa.Kituo hiki pia kina kambi ya kuhudumia waathirika wa ugonjwa wa mlipuko wa kipindu pindu ambao wanakuwa wanalazwa kwenye mahema yanayoonekana kwenye picha.
Swali langu ni je, leo kukitokea mlipuko wa kipindu pindu wagonjwa watalazwa kwenye mahema haya haya au kuna ujanja mwingine utafanyika?Nauliza hivyo kwasababu mahema yenyewe yana hali mbaya sana na hayako katika hali nzuri.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...