IKICHEZA mchezo wa kimataifa kwenye uwanja wake wa nyumbani kwa mara ya kwanza katika historia yake AzamFC jana imepata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji katika mchezo wa kwanza wa Raundi yaAwali Kombe la Shirikisho Afrika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam jana jioni.
Showing posts with label MICHEZO NA BURUDANI. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO NA BURUDANI. Show all posts
Monday, February 10, 2014
Tuesday, January 28, 2014
MJASIRIAMALI WA SABUNI ZA MAJI ATIMKA NA MILIONI 30 ZA VODACOM
Tuesday, January 14, 2014
Ronaldo Mchezaji bora wa dunia 2013.
Christian Ronaldo |
Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo jana usiku alinyakua tuzo ya mchezajii bora wa soka wa fifa wa mwaka 2013 na kuwashinda Lionel Messi wa Barcelona na Frank Ribery wa Bayern Munich.
Ronaldo ambaye alinyakuwa tuzo hiyo ya mchezaji bora wa dunia kwa mara kwanza mwaka 2008 alitangazwa kunyakua tuzo mwaka 2013 baada ya kupigiwa kura na makocha, manahodha na waandishi wa habari.
Kwa mujibu wa matokeo Ronaldo alipata kura 1365 akimshinda Messi aliyepata kura 1,205 na Ribery akiambulia kura 1,127.
Kwa upande wa wanawake golikipa wa Ujerumani Nadine Angerer alinyakuwa tuzo ya fifa ya mchezaji bora wa soka kwa upande wanawake huku aliyekuwa kocha wa Bayern Munich Jupp Heynckes akinyakua tuzo ya kuwa kocha bora wa dunia.
Friday, December 6, 2013
Wednesday, October 30, 2013
NANI ATAKUWA MWANASOKA BORA NA KOCHA BORA WA FIFA 2013 KATI YA HAWA WAFUATAO?
Wachezaji 23 wanaowania tuzo ya mwanasoka bora wa FIFA ni:-
Gareth Bale (Wales),
Edinson Cavani (Uruguay), Radamel Falcao (Colombia), Eden Hazard
(Belgium), Zlatan Ibrahimović (Sweden), Andrés Iniesta (Spain), Philipp
Lahm (Germany), Robert Lewandowski (Poland), Lionel Messi (Argentina),
Thomas Müller (Germany), Manuel Neuer (Germany), Neymar (Brazil), Mesut
Özil (Germany), Andrea Pirlo (Italy), Franck Ribéry (France), Arjen
Robben (Netherlands), Cristiano Ronaldo (Portugal), Bastian
Schweinsteiger (Germany), Luis Suárez (Uruguay), Thiago Silva (Brazil),
Yaya Touré (Côte d’Ivoire), Robin Van Persie (Netherlands), Xavi
(Spain).
Makocha wanaowania taji la Kocha bora wa FIFA 2013 ni :-
Carlo Ancelotti (Italy/Paris Saint-Germain FC/Real Madrid CF),
Rafael Benítez (Spain/Chelsea FC/SSC Napoli), Antonio Conte
(Italy/Juventus), Vicente Del Bosque (Spain/Spain national team), Sir
Alex Ferguson (Scotland/Manchester United FC former coach), Jupp
Heynckes (Germany/FC Bayern München former coach), Jürgen Klopp
(Germany/Borussia Dortmund), José Mourinho (Portugal/Real Madrid
CF/Chelsea FC), Luiz Felipe Scolari (Brazil/Brazil national team),
Arsène Wenger (France/Arsenal FC).
Monday, October 28, 2013
JAMALI MALINZI BOSS TFF, AMBWAGA ATHUMAN NYAMLANI.MAKAMU WAKE WALACE KARIA.
Jamali Malinzi - Rais mpya wa TFF |
Friday, October 25, 2013
Wednesday, October 23, 2013
Monday, October 21, 2013
SIMBA TIMU BORA KATIKA MECHI YAKE NA MTANI WA JADI YANGA.
Simba ikiwa chini ya kocha wake mkuu King Kibandeni imeonekana kuwa timu bora baada ya kuweza kusawazisha goli 3 alizokuwa ameshafungwa na mpinzani wake Yanga zilizofungwa katika kipindi cha kwanza.
Young Africans ilitoka sare ya mabao 3-3 na Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika jana katika dimba la uwanja wa Taifa ambapo mchezo huo umeshuhudia mabao yote sita yakifungwa katika upande wa kusini mwa uwanja.
Baada ya kosa kosa ya Hamis Kiiza dakika ya tisa ya mchezo, Mrisho Ngassa aliipatia Young Africans bao la kwanza dakika ya 14 ya mchezo akimaliza pasi ya Kiiza aliyewatoka walinzi wa Simba SC na Ngassa kuukwamisha mpira wavuni.
Didier Kavumbagu alikosa bao la wazi kufuatia mpira aliopiga kutoka seintimeta chache langoni kabla ya tik tak ilyopigwa na Ngassa kupaa pia juu ya lango la Simba SC liliokuwa chini ya Abeid Dhaira
Hamsi Kiiza aliipatia Young Africans bao la pili dakika ya 35 ya mchezo, akimalizia pasi ya Mrisho Ngasa aliyemtoka mlinzi wa Simba SC Nassoro Maoud Chollo na mpira huo kumkuta mfungaji aliyeukwamisha wavuni.
Dakika ya 45 ya mchezo, Hamis Kiiza tena aliipatia Young Africans bao la tatu baada ya pira uliorushwa na Mbuyu Twite kuguswa na kichwa cha Didier Kavumbagu na kumkuta Kiiza ambaye alifanya kazi yake ya kuukwamisha mpira wavuni.
Mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza zinamalizika, Simba SC 0 -3 Young Africans.
Kipindi cha pili kilianza kwa Simba kufanya mabadiliko, ambapo mabadiliko hayo yaliwaongezea uhai katika dakika ya 55 uzembe wa Nadir Haroub 'Cannavaro' ulimpelekea mshambuliaji wa Betram Mombeki kuipatia timu yake bao la kwanza.
Young Africans ilitoka sare ya mabao 3-3 na Simba SC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliofanyika jana katika dimba la uwanja wa Taifa ambapo mchezo huo umeshuhudia mabao yote sita yakifungwa katika upande wa kusini mwa uwanja.
Baada ya kosa kosa ya Hamis Kiiza dakika ya tisa ya mchezo, Mrisho Ngassa aliipatia Young Africans bao la kwanza dakika ya 14 ya mchezo akimaliza pasi ya Kiiza aliyewatoka walinzi wa Simba SC na Ngassa kuukwamisha mpira wavuni.
Didier Kavumbagu alikosa bao la wazi kufuatia mpira aliopiga kutoka seintimeta chache langoni kabla ya tik tak ilyopigwa na Ngassa kupaa pia juu ya lango la Simba SC liliokuwa chini ya Abeid Dhaira
Hamsi Kiiza aliipatia Young Africans bao la pili dakika ya 35 ya mchezo, akimalizia pasi ya Mrisho Ngasa aliyemtoka mlinzi wa Simba SC Nassoro Maoud Chollo na mpira huo kumkuta mfungaji aliyeukwamisha wavuni.
Dakika ya 45 ya mchezo, Hamis Kiiza tena aliipatia Young Africans bao la tatu baada ya pira uliorushwa na Mbuyu Twite kuguswa na kichwa cha Didier Kavumbagu na kumkuta Kiiza ambaye alifanya kazi yake ya kuukwamisha mpira wavuni.
Mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza zinamalizika, Simba SC 0 -3 Young Africans.
Kipindi cha pili kilianza kwa Simba kufanya mabadiliko, ambapo mabadiliko hayo yaliwaongezea uhai katika dakika ya 55 uzembe wa Nadir Haroub 'Cannavaro' ulimpelekea mshambuliaji wa Betram Mombeki kuipatia timu yake bao la kwanza.
Friday, October 18, 2013
VIWANGO VYA SOKA DUNIANI, TANZANIA YASHUKA NAFASI 2 NA KUWA YA 129.
|
---|
Friday, October 11, 2013
MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA HII LEO.
Pos. | Logo | Club | P | W | D | L | GF | GA | GD | Pts |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | Simba SC | 7 | 4 | 3 | 0 | 16 | 5 | 11 | 15 | |
2 | Azam FC | 8 | 3 | 5 | 0 | 11 | 6 | 5 | 14 | |
3 | Mbeya City FC | 8 | 3 | 5 | 0 | 11 | 7 | 4 | 14 | |
4 | Young Africans SC | 7 | 3 | 3 | 1 | 13 | 7 | 6 | 12 | |
5 | JKT Ruvu Stars | 8 | 4 | 0 | 4 | 9 | 7 | 2 | 12 | |
Monday, September 30, 2013
YANGA - TAARIFA KUHUSU MRADI WA UWANJA.
LEO tungependa kupitia kwenu kutoa taarifa kuhusu maendeleo ya
mradi wetu wa Uwanja wa kisasa wa mpira katika Jiji la Jangwani kama
itakavyojulikana
Mara ya mwisho tuliongea ama
kuonana ilikuwa mwezi wa tatu wakati Ndugu zetu wa BCEG walipokabizi
Concept design ama Usanifu wa awali na kuanzia sasa tutakuwa tunatoa
taarifa za mara kwa mara kuhusu mradi huu. Wahenga walisema UKICHA
KUSEMA HUTATENDA JAMBO lakini pia KUKAA KIMYA SANA kunajenga hisia mbaya
na kutoa nafasi ya upotoshwaji wa habari.
Kwa kifupi napenda kuwakumbusha kuwa Makubalino ya
Awali (Memorandum of Understanding) yalisainiwa 23 Novemba 2012. Pamoja
na mengineyo YANGA inatakiwa:
• Kupata na kuwa na eneo la kutoshereza
malengo ya mradi
• Kupata ushauri mzuri, michoro mizuri na
mkandarasi mzuri wa mradi
• Kupata na kutenga fedha za kukamilisha
usanifu na ujenzi wa mradi
Kwa upande wa BCEG
wajibu wao ni kuwa na utaalamu na uzoefu wa kutosha. BCEG wameandaa na
kukabidhi michoro ya usanifu wa awali kukidhi matakwa ya YANGA. YANGA
tunatakiwa kutoa maoni yetu na na kuingia RASMI mkataba wa ujenzi.
Kutokana
na kukua kwa Jiji la Dar es Salaam, na katika hali ya kutaka klabu iwe
na vitega uchumi klabu imeonelea ni vyema kama ingekuwa na uwanja wa
mpira wa karne ya sasa na baadaye ambao pamoja na mambo mengine utakuwa
na mioundombinu ifuatayo:-
Friday, September 13, 2013
J. MARTIN NA A.Y KUSHIRIKIANA NA VODACOM WALIPOTOA MISAADA KWA WATOTO YATIMA DAR JANA.
Subscribe to:
Posts (Atom)