 |
Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Bonde la Wami/Ruvu Ndg.Washington Mutayoba na kulia ni Katibu wa Bodi Bi.Plaxeda Kalugendo |
Kikao cha Bodi ya Maji kimefanyika leo katika ukumbi wa Edema mjini Morogoro.
 |
Baadhi ya wajumbe la Bodi ya Bonde la Wami/Ruvu wakisikiliza kwa makini. |
Katika kikao hicho mambo mbali mbali yamejadiliwa na mikakati ya kuboresha utendaji wa Ofisi ya Bonde la Wami/Ruvu imewekwa ili kuifanya Rasilimali Maji iwe endelevu.
Rasilimali Maji katika Wizara ya Maji inasimamiwa na Ofisi za mabonde yapatayo tisa (9) katika nchi nzima.
No comments:
Post a Comment