Monday, June 3, 2013

MAPENDEKEZO YA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA HAYA HAPA.

Tume ya Mabadiliko ya Katiba nchini Tanzania, imependekeza wawepo wagombea huru katika ngazi za uchaguzi mbalimbali . Hayo ni miongoni mwa mapendekezo yaliyotangazwa jijini Dar es salaam na Mwenyeketi wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba wakati wa uzinduzi wa Rasimu ya Kwanza ya Katiba Mpya.
Jaji Warioba amesema pia wapo wananchi waliopendekeza kwamba, wagombea huru waruhusiwe kugombea nafasi zote isipokuwa nafasi ya urais. Jaji Warioba amesema tume ilipitia maoni hayo na kupendekeza kwamba, wagombea huru waruhusiwe kugombea nafasi zote kuanzia ngazi ya Mwenyekiti wa Mtaa hadi nafasi ya Urais.
Kadhalika Jaji Warioba amesema, Tume pia imependekeza kwamba, mgombea yeyote wa Urais ili athibitike kuwa ni mshindi atalazimika kupata zaidi ya asilimia hamsini ya kura, na kwamba endapo mgombea hatafanikiwa kupata asilimia hamsini uchaguzi utarudiwa kwa kuangalia wagombea wawili waliopata kura nyingi.
Mapendekezo mengine yaliyotangazwa na Tume ni pamoja na kuwepo kwa serikali tatu yaani ya Bara,Zanzibar na ile ya Muungano.
Pia tume imependekeza kuwa, Bunge la Muungano liwe na jumla ya Wabunge 75, hamsini kutoka Bara, ishirini kutoka visiwani na watano wateuliwe na Rais kutoka makundi maalum ya walemavu.
Mapendekezo mengine ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ni pamoja na Rais kubakia na madaraka yake ya uteuzi wa viongozi wa ngazi za juu, lakini uteuzi wa ngazi za chini uachiwe Tume ya Utumishi.
Imeeleza kwamba, Rais mara baada ya kufanya uteuzi wa viongozi wa ngazi za juu wakiwemo, mawaziri, manaibu waziri, jaji mkuu na naibu jaji mkuu, viongozi hao watalazimika kuthibitishwa na Bunge.

SASA "SHOW" YA LADY JAYDEE NI JUNE 14.

Msanii muziki Lady Jaydee  ametangaza rasmi tarehe yake ya kufanya show ya miaka13 toka ameanza kufanya muziki kuwa ni siku ya Ijumaa ya Tarehe 14 mwezi Juni, baada ya kuaihirisha show yake kufuatia kifo cha Msanii Albert Mangwea kilichotokea siku ya tarehe 28 huko Afrika Kusini.
 
Lady Jaydee amesema sababu ya kuchagua siku hiyo ni kwamba siku ya Tarehe 13 atakwenda Mahakamani kusikiliza kesi inayomkabili na siku inayofuta itakuwa show ya Miaka kumi na tatu (13) na tarehe 15 atasherehekea siku yake ya kuzaliwa.
 
Lady Jay Dee  ametumia akaunti yake ya twitter kuiweka wazi tarehe ya show yake alipokua akijibu swali la fan wake ambae atasherehekea siku moja ya kuzaliwa na msanii huyo (June 15).

JOB VACANCIES - NATIONAL HOUSING CORPORATION.

NATIONAL HOUSING CORPORATION
                                                        JOB OPPORTUNITY
National Housing Corporation (NHC) is inviting applications from suitably qualified candidates to fill the position of manager in its Directorate of Business Development.

BUSINESS DEVELOPMENT MANAGER (1 POST) (Ref.No. DBM/02)
The Business Development Manager (BDM) reports to the Director of Business Development and has overall responsibilities for management and coordination of potential new business opportunities, thus generate information that facilitate decision making process. The decision parameters should be based on real estate market trends, market demands, trends and economic patterns that support strategic and tactical decisions for the National Housing Corporation (NHC).


SCHOLARSHIPS AT BOND UNIVERSITY IN AUSTRALIA, 2013/14.

Bond University offers international scholarships for undergraduate and postgraduate students in Australia. Applicants must currently be or have previously been in the top 5% of their high school or university class. These scholarships are available to international students who have demonstrated outstanding academic ability. International scholarships will cover 25% to 50% of tuition fees of any undergraduate or postgraduate degree (excluding Bond University’s Medical Program, Master’s of Psychology, Doctor of Physiotherapy).

Study Subject(s): Scholarships are provided for studying any one of the courses offered by Bond University in Australia.
 

Sunday, June 2, 2013

YANGA KUANZA MAZOEZI JUMATATU.

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania bara 2012/2013 Young Africans  ambao pia ni Mabingwa watetezi wa kombe la Kagame. jumatatu wanatarajia kuanza mazoezi katika uwanja wa shule ya sekondari Loyola Mabibo kujiandaa na mashindano ya kombe la Kagame yanayotarajia kuanza Juni 18 mwaka huu nchini Sudan.
Katika mashidano ya mwaka huu nchini Sudan , Yanga imepangwa katika kundi C lenye timu za Express FC (Uganda), Vitaloo FC (Burundi) na Ports FC (Djibout) ambapo kundi hili litakua katika mji wa El Fashir Kaskazini mwa jimbo la Darfur.
Yanga itaanza kutetea ubingwa wake Juni 20 dhidi ya timu ya Express ya Uganda, kisha Juni 22 itacheza na Ports ya Djibout kabla ya kumalizia mchezo wake wa mwisho katika makundi dhidi ya timu ya Vitaloo Juni 25 michezo yote ikifanyika katika uwanja wa El Fashir.
Mpaka sasa klabu ya Yanga imefanikiwa kukamalisha usajili wa mchezaji Mrisho Ngasa aliyekuwa akiitumikia Simba SC kwa mkopo akitokea timu ya Azam Fc ambapo mara baada ya msimu kumalizika amejiunga Yanga kama mchezaji huru.
Mara baada ya mchezo wa mwisho wa kukamilisha ratiba Kocha Mkuu Ernie Brandts alitoa mapumziko ya wiki mbili kwa wachezaji na benchi la ufundi kwa ajili ya kupata nafasi ya kujumuika na familia zao, ndugu zao kabla ya kurejea June 3 na kuanza maandilizi ya mashaindano hayo.
Young Africans ambayo ilitwaa ubingwa wa VPL ikiwa na michezo miwili mikononi inaanza mazoezi jumatatu asubuhi kuhakikisha inajiandaa vema kwenda kushindana na kurudi na kombe hilo kwa kulitwaa kwa mara ya tatu (3) mfululizo, ambapo mpaka sasa imeshalitwaa mara 5.

Saturday, June 1, 2013

UJUE UGONJWA WA MNYAUKO WA MIGOMBA.

 

banana xanthomonas wilt (BXW) (Xanthomonas campestris pv. musacearum)

Host plants / species affected
Ensete ventricosum (Abyssinian banana)
Musa (banana)
List of symptoms/signs
Fruit  -  ooze
Fruit  -  discoloration
Inflorescence  -  rot
Inflorescence  -  discoloration (non-graminaceous plants)
Inflorescence  -  premature ripening
Inflorescence  -  dieback
Leaves  -  abnormal colours
Leaves  -  wilting
Leaves  -  yellowed or dead
Leaves  -  ooze
Stems  -  internal discoloration
Stems  -  wilt
Stems  -  ooze
Vegetative organs  -  internal rotting or discoloration
Whole plant  -  plant dead; dieback
Whole plant  -  discoloration
Whole plant  -  wilt
 

DR.SLAA NA HECHE WAFUNIKA MOROGORO.


Katibu mkuu wa CHADEMA Dr.Wilbroad Slaa akiambatana na Mwenyekiti wa Vijana CHADEMA Ndg.John Heche leo wamehutubia umati mkubwa wa maelfu ya watu waliohudhuria mkutano huo katika viwanja vya Shule ya Msingi Kiwanja wa ndege/Saba saba.

Akiuhutubia umati huo zaidi zaidi ameongelea swala la amani ya nchi yetu ya Tanzania.Akiongea Dr. Slaa amesema kuhubiri majukwaani,makanisani,misikitini,mikutanoni,vikaoni,bungeni au mahala popote kuwa tuilinde amani yetu ya Tanzania na kumuomba mwenyezi mungu ni uongo mtupu ikiwa amani hiyo hujaitengeneza na kuisababisha iwepo.

Akiendelea kuhutubia amesema mfanyakazi,mama lishe/baba lishe, machinga,mwendesha boda boda,polisi au mtu yeyote hawezi kuwa na amani wakati hana uhakika na maisha yake kwa umaskini.

Dr.Slaa akijibu maswali yaliyoulizwa na baadhi ya watu waliohudhuria mkutano huo.

SCHOLARSHIP AT UNIVERSITY OF THE ARTS LONDON IN UK, 2013/14 .

Central Saint Martin’s College of Arts and Design of University of the Arts London is offering six MRes Art International Bursaries in UK. The bursaries cover tuition fees for first year students only. Home/ EU and International students are eligible for MRes funding. Students must be undergraduate and be accepted at the full-time MRes courses at the College for September 2013 academic year. Selection criteria for bursaries are financial need and academic merit. Applications should be submitted by post.

UDOM - Call for Paper,School of Humanities


The school of Humanities University of Dodoma plans to publish a second volume of its journal, the Journal  of humanities (JH) in October 2013.  This is to inform interested authors to submit papers by 15th July 2013.  

About the Journal
Journal of the Humanities (JH) is an international peer-reviewed trilingual broad-focused  Journal which aims to promote the exchange of ideas and foster interdisciplinary research in the human sciences. It publishes scholarly articles and reviews on cultures, history, anthropology, indigenous knowledge, literatures and languages, art and music, and other fields of the humanities that appeal to an international audience. Our primary goal is to generate intellectual dialogues between the traditional boundaries of knowledge and culture; we also seek to redefine, transform, and conflate such boundaries. 

NYARAKA ZINAZOONESHA NIA YA KUMVUA UBUNGE MH.TUNDU LISSU.











LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...