Monday, March 24, 2014

MVUA ZALETA MAAFA BUKOBA.

L
Usiku wa kuamkia leo mji wa Bukoba umepata mvua ya kutosha iliyosababisha migomba na mazao mengine kuharibika vibaya sana. Hali hii imesababisha hata na baadhi ya makazi kuhezuliwa. Camera yetu imetembelea kata ya Bakoba katika mitaa ya Bunena na kujionea hali ilivyo baada ya kuanguka migomba na wananchi wakiendelea kukata baadhi iliyoangukia mazao mengine na baadhi ya maeneo ya Kashenye.





Migomba yenye ndizi changa ikiwa imeanguka 



Picha zote  na Mwanaharakati.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...