| Watu wakiwa wamejaa barabara ya Kihonda - Mjini. |
| Abiria wakiwa kwenye pick up ambazo zilikuwa zinasafirisha kwa Tsh.500/= |
| Abiria wakiwa kwenye bajaj kwa nauli ya Tsh.500/= |
| Noah nazo zimetoa huduma ya usafirishaji kwa Tsh.1000/= |
| Abiria wakipakiwa kwenye Noah. |
| Wanafunzi nao wakiwa wanatembea kwa mguu |
| Watu wakiwa wanatembea kwa mguu |
No comments:
Post a Comment