Tuesday, February 5, 2013

KITALE AFUNGA NDOA NA KUUAGA UKAPELA.

Kitale akiwa na mkewe Bi Fatuma
 Hatimaye msanii wa filamu za komedi ameamua kuuaga ukapela na kuoa baada ya hiyo jana kufunga pingu za maisha na mke wake Bi Fatuma Salumu.
Kitale akiwa anafungishwa nikhai
 Ndoa hiyo ilifungiwa maeneo ya Mwananayamala jijini Dar es salaam mnamo saa nane hivi mchana.Kama kazi yake inavyohakisi,sherehe za ufungaji wa ndoa hiyo ziliudhuriwa na watu wengi ili kuhakikisha mambo yanaenda sawa.


No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...