Tuesday, May 6, 2014

VARIOUS JOB VACANCIES IN TANZANIA.

SENIOR PROCUREMENT AND LOGISTICS OFFICER
Qualifications: Holder of Bachelor degree/Advanced Diploma in Materials Management,Suplies ,Procurement or its equivalent from a recognized institution
Apply: Director General Sugar Board Tanzania
Box 4355, Dar es Salaam
Details: Mwananchi,02 May,2014
Deadline:31 May, 2014

LOANS OFFICER
Qualifications: Holder of university degree in Financial Management or Accountancy,Candidate who served as Ministers for loans might have an added advantage
Apply: Vice Chancellor,Catholic University of Health and Allied Science (CUHAS)
Box 1464, Mwanza
Details: Mwananchi,02 May,2014
Deadline:16 May, 2014

ASSISTANT INTERNAL AUDITOR
Qualifications: Holder of a First degree in B.Com Accountancy ,BBA (Accounting or Finance),Advance Diploma in Accountancy (ADA)and any relevant field .Holding Mastar’s degree in a related field will be an added advantage
Apply: Vice Chancellor,Catholic University of Health and Allied Science (CUHAS)
Box 1464, Mwanza
Details: Mwananchi,02 May,2014
Deadline:16 May, 2014

CUF WASEMA WASIOTAKA SERIKALI YA UMOJA WAFUKUZWE.


Chama cha Wananchi (CUF) kimesema wanasiasa wanaojadili suala la kuendelea au kutokuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), wanastahili kujiuzulu au kufukuzwa ndani ya vyama vyao.
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya Mnadhimu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), Salmin Awadh Salmin kusema kuwa Wawakilishi wa CCM wanajiandaa kuwasilisha hoja binafsi kwenye Baraza hilo ili kuwapa nafasi wananchi waulizwe iwapo wanataka kuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa au vinginevyo.
Salmin aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Viwanja vya Kibandamaiti, Unguja kwa kuwa wanaona kwamba lengo la kuundwa kwake halina dalili njema kwa siku za usoni.

JOB VACANCY - DELOITTE

CLICK HERE

Monday, May 5, 2014

Watu wenye ulemavu wa ngozi waitaka serikali kuwachulia hatua kali watuhumiwa wa mauaji na ukataji viungo.


Watu wenye ulemavu wa ngozi wameitaka serikali kuhakikisha inawachulia hatua kali za kisheria watuhumiwa wanaobainika kuhusika na mauaji na ukataji viungo vya albino ili kukomesha vitendo hivyo huku wakitaka huduma za afya zitolewe bure kwao ili kupunguza idadi kubwa ya vifo vinavyotokana na saratani ya ngozi.
Hayo yamo katika risala yao waliyoisoma wakati wa kilele cha maadhimisho ya tisa ya siku ya albino duniani yaliyofanyika jijini dar es salaam ambapo wamesema mbali na tatizo la mauaji na ukatwaji wa viungo vya albino bado wanakabiliwa na changamoto ya saratani ya ngozi ambapo asilimia 80 ya albino hufia majumbani kwa kukosa huduma ya matibabu
Katika hotuba ya rais Jakaya Kikwete iliyosomwa kwa niaba yake na waziri wa afya na ustawi wa jamii Dk Seif Rashid amesema serikali itaendelea kusimamia sera kikamilifu ambapo kwa sasa inafanya utaratibu wa kusambaza mafuta maalum kwa ajili ya albino katika vituo vya afya nchi nzima ambayo yatatolewa bure na kuongeza kuwa waraka wa kutoa huduma za afya bure kwa walemavu wa ngozi umeshasambazwa ngazi husika huku akieleza kuwa changamoto kubwa ni tatizo la imani za kishirikina ambalo linahitaji mapambano ya watu wote
Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na viongozi na wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wakiwemo mabalozi wanaoziwakisha nchi zao hapa nchini ambapo pia mmoja wa albino aliyenusurika kifo baada ya kukatwa mikono yake yote amepata fursa ya kutoa ushuhuda huku akiiomba serikali kuchukuwa hatua za makusudi juu ya watuhumiwa hao ambapo amedai kuwa aliyemfanyia kitendo hicho kwa sasa yuko huru wakati yeye anaishi kwenye kambi kama mkimbizi

Chanzo: ITV

MKE WA RAIS NIGERIA ATOA AMRI YA KUKAMATWA KWA KIONGOZI WA MAANDAMANO.

Mke wa Rais wa Nigeria Patience Jonathan
Mwanaharakati mwanamke aliyekuwa akiongoza maandamano nchini Nigeria kushinikiza serikali ya nchi hiyo kuwaokoa wasichana 200 waliotekwa hivi karibuni ametiwa mbaroni na polisi kwa amri ya mke wa Rais wa nchi hiyo.
Naomi Mutah Nyadar alikuwa miongoni wanawake waliohudhuria mkutano ulioitishwa na ma mke wa rais Patience Jonathan na baadae mwanaharakati huyo alipelekwa kituo cha polisi habari zinasema.

Mke wa Rais wa Nigeria Patience Jonathan
Inasemekana Mke wa Rais Jonathan anahisi mama za wasichana waliotekwa walimtuma mwanaharakati huyo ili aweze kuwawakilisha.
Mchambuzi wa masuala ya Nigeria anasema Mke wa Rais Jonathan ni Mwanasiasa mwenye nguvu nchini Nigeria.
Mama Mutah mwakilishi wa jamii ya Chibok eneo wasichana hao walipotekwa wakiwa shuleni zaidi wiki mbili zilizopita, wiki iliyopita aliandaa maandamano katika mji mkuu wa Abuja.
Waandamanaji wengi wakiwa ni Wanaigeria wanaona serikali haijafanya vya kutosha kuwatafuta wasichana hao waliotekwa wanaodhaniwa kuwa ni kundi la kiislam la Boko Haram.

Hadi sasa Boko haram hawajasema lolote kuhusu tuhuma hizo.
Wasichana wanne walio mbele ambao ni miongoni mwa waliotekwa na kufanikiwa kutoroka.


Chanzo: BBC

JOB VACANCIES - TPDC.

Friday, May 2, 2014

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI, MAREKEBISHO YA RATIBA KWA KADA ZA TAASISI YA TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANIZATION (TIRDO).

Kutokana na sababu zisizozuilika Wasailiwa wa nafasi za kazi kwa Kada za Taasisi ya TIRDO(SENIOR HUMAN  RESOURCES OFFICER I na ASSISTANT  RESARCH OFFICER I) watafanya Usaili wa mchujo tarehe 7/5/2014 na Usaili wa Mahojiano tarehe 8/5/2014.
Hivyo basi wasailiwa kwa Kada hizo mnaombwa kuzingatia mabadiliko hayo,masharti mengine ya Tangazo la awali yanabaki kama yalivyo.
Tunaomba radhi kwa usumbufu utakaojitokeza.
Imetolewa na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. 

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES - TANESCO

Background – TANESCO                   http://www.tanesco.co.tz

 The Tanzania ElectricSupply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanian people. Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company will, in the coming years invest heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites internal and external applicants who are self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to fill top management positions in the Company.

Specific attributes for the Positions to be filled:
All Candidates must:
  1. Demonstrate impeccable performance track record;
  2. Demonstrate highest degree of integrity;
  3. Possess good communication and interpersonal skills;
  4. Be self-driven and capable of working with minimal supervision;
  5. Be capable of delivering excellent results while working under pressure with tight deadlines;
  6. Possess knowledge and competency in Information and Communication Technology (ICT) application.
  7. Possess wide knowledge and working experience in the relevant field.
Deputy Managing Director - Transmission  (1 Post)
Reporting to:     Managing Director
Division:           Transmission
POSITION OBJECTIVE
Planning and implementing Company’s goals and objectives so as to achieve its vision and mission for the Transmission Business unit. This involves directing, planning and implementation of the power system expansion, including generation and transmission to meet the growing demand as well as operating and maintaining the existing power system.
KEY RESPONSIBILITIES

Thursday, May 1, 2014

JOB VACANCIES - MBEYA UNIVERSITY.

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIFONYIKA TAREHE 30 APRILI 2014: COMPUTER SYSTEM ANALYST II.

Wasailiwa waliochaguliwa wanatakiwa kuhudhuria usaili wa ana kwa ana tarehe 02-05-2014 saa moja na nusu asubuhi katika ofisi za Tanzania Meat Board.
Tafadhali fika na nakala halisi za vyeti. (Original Certificates)
          
NA    EXAMS NUMBER                        SCORE     REMARKS
1    PSRS-COM SYSTEM  TMB-0006       80.5     SELECTED
2    PSRS-COM SYSTEM  TMB-0010       75        SELECTED
3    PSRS-COM SYSTEM  TMB-0007       65        SELECTED
4    PSRS-COM SYSTEM  TMB-0004       62.5     SELECTED
5    PSRS-COM SYSTEM  TMB-0014       62.5     SELECTED
6    PSRS-COM SYSTEM  TMB-0005       60        NOT SELECTED
7    PSRS-COM SYSTEM  TMB-0009       60        NOT SELECTED
8    PSRS-COM SYSTEM  TMB-0000       55        NOT SELECTED
9    PSRS-COM SYSTEM  TMB-0011       52.5     NOT SELECTED
10  PSRS-COM SYSTEM  TMB-0002       40        NOT SELECTED
11  PSRS-COM SYSTEM  TMB-0013       35.5     NOT SELECTED
12  PSRS-COM SYSTEM  TMB-0003       34.5     NOT SELECTED

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...