Monday, September 30, 2013
YANGA - TAARIFA KUHUSU MRADI WA UWANJA.
LEO tungependa kupitia kwenu kutoa taarifa kuhusu maendeleo ya
mradi wetu wa Uwanja wa kisasa wa mpira katika Jiji la Jangwani kama
itakavyojulikana
Mara ya mwisho tuliongea ama
kuonana ilikuwa mwezi wa tatu wakati Ndugu zetu wa BCEG walipokabizi
Concept design ama Usanifu wa awali na kuanzia sasa tutakuwa tunatoa
taarifa za mara kwa mara kuhusu mradi huu. Wahenga walisema UKICHA
KUSEMA HUTATENDA JAMBO lakini pia KUKAA KIMYA SANA kunajenga hisia mbaya
na kutoa nafasi ya upotoshwaji wa habari.
Kwa kifupi napenda kuwakumbusha kuwa Makubalino ya
Awali (Memorandum of Understanding) yalisainiwa 23 Novemba 2012. Pamoja
na mengineyo YANGA inatakiwa:
• Kupata na kuwa na eneo la kutoshereza
malengo ya mradi
• Kupata ushauri mzuri, michoro mizuri na
mkandarasi mzuri wa mradi
• Kupata na kutenga fedha za kukamilisha
usanifu na ujenzi wa mradi
Kwa upande wa BCEG
wajibu wao ni kuwa na utaalamu na uzoefu wa kutosha. BCEG wameandaa na
kukabidhi michoro ya usanifu wa awali kukidhi matakwa ya YANGA. YANGA
tunatakiwa kutoa maoni yetu na na kuingia RASMI mkataba wa ujenzi.
Kutokana
na kukua kwa Jiji la Dar es Salaam, na katika hali ya kutaka klabu iwe
na vitega uchumi klabu imeonelea ni vyema kama ingekuwa na uwanja wa
mpira wa karne ya sasa na baadaye ambao pamoja na mambo mengine utakuwa
na mioundombinu ifuatayo:-
EMPLOYMENT VACANCIES - PCCB.
EMPLOYMENT VACANCIES
1.0 INVESTIGATION OFFICERS (214 POSTS)
The
PCCB is an Independent Public Institution and law enforcement Agency
established by Section 5 of the Prevention and Combating of Corruption
Act No. 11 of 2007. The Bureau is mandated to carry out three major
functions: Prevention, Community Education and law enforcement in
Tanzania mainland.
Suitably
qualified Tanzanians are invited to join our family in the following
positions:
1.0 INVESTIGATION OFFICERS (214 POSTS)
1.1 DIRECT
ENTRANTS (FROM COLLEGES/UNIVERSITIES)
- Applicants should posses three years Advanced Diploma or Undergraduate degree from recognized higher learning Institutions in any of the following fields: Quantity survey, Accountancy, Human Resources Management, Law, Procurement, Journalism, Information Technology, Highways Engineering, Building Constructions, Electrical Engineering, Land Management and Valuation, and Forensic Knowledge.
JOB OPPORTUNITY IN TANZANIA.
Climate Change
Job Opportunity | Energy Efficiency Expert (National) |
Posted on | 17 Sep, 2013 |
Application by | 8 Oct, 2013 |
Project Status: | Tender |
Project Title | Sustainable use of Renewable Energy - Component: Promotion of Energy Efficiency |
Period of Project: | Feb, 2014 - Dec, 2016 |
Duration of assignment: | 35 months |
Country: | Tanzania |
Duty Station: | to be determined |
Job Code | AFR-TZA13GIZ0232/2 |
Project Description: |
The goal of the program (target module) is: The conditions
for the sustainable use of Renewable Energy (RE) are improved in
Tanzania. The program supports the expansion of grid-connected renewable
energies through advisory on the general framework and capacity
building. The procedures for approval of small RE systems (10 MW), which
are supported through the Rural Energy Agency REA, should be organized
more efficiently. In addition, strategies and support measures for
Energy Efficiency are supported. Political support is the Ministry of
Energy and Minerals (MEM). |
Job Description: | Subject to this tender is the "promotion of
energy efficiency (EE)". Key tasks include:
|
Qualifications: |
|
CV-Form: | CV GIZ |
Contact Person: | Romy Rösner |
Contact: | Roesner@gfa-group.de |
Wigh Fellowships for International Scholars at Harvard University in USA, 2014
Weatherhead Center for International Affairs through the Weatherhead
Initiative on Global History (WIGH) offers fellowships for international
scholars in the USA. The fellowships are available to support
outstanding scholars whose work respond to the growing interest in the
encompassing study of global history. Applications are welcomed from
qualified persons without regard to nationality, gender, or race.
Fellows will receive an annual stipend of up to $50,000, according to
fellows’ needs. WIGH Fellows are appointed for one year and are provided
time, guidance, office space, and access to Harvard University
facilities. Applications should be submitted till January 10, 2014.
Friday, September 27, 2013
Wakuu wa usalama kuhojiwa Kenya.
Maafisa wakuu wa ujasusi wametakiwa kufika mbele ya
kamati ya ulinzi ya bunge ili kuhojiwa kuhusu mashambulizi ya kigaidi
dhidi ya jumba la Westgate mjini Nairobi.
Taarifa kwenye vyombo vya habari nchini humo
zinaonyesha kuwa hali ya kulaumiana imeanza kuibuka huku mashirika ya
usalama yakinyosheana kidole.Watu 67 waliuawa kwenye shambulizi hilo huku zaidi ya miamoja sabini na tano wakipata majeraha mabaya. Shirika la Red Cross nalo linasema kuwa watu 61 wangali hawajulikani waliko.
Wataalamu wa uchunguzi wa mauaji wangali wanafanya uchunguzi wao wakitafuta miili na dalili za kilichosababisha shambulizi hilo.
Kamati ya bunge inataka maafisa wanaohusika na maswala ya usalama waweze kuwajibishwa.
Kundi la kigaidi la nchini Somalia, al-Shabab limedai kufanya mashambulizi hayo yaliyodumu siku nne kama hatua ya kulipiza kisasi kwa Kenya kujihusisha nchini Somalia kijeshi.
Hii leo ni siku ya tatu ya maombolezi kwa wathiriwa wa shambulizi hilo wakiwemo raia na wanajeshi.
Rais Uhuru Kenyatta amehudhuria mazishi ya mpwa wake na mchumba wake mjini Nairobi ambapo aliwahutubia waumini.
Walipuuza onyo?
Hatua ya kuwataka maafisa hao wa usalama kufika mbele ya tume ya bunge siku ya Jumatatu, inakuja kutokana na wasiwasi miongoni mwa wakenya kuhusu kiwango cha maafisa hao kujiandaa kwa tukio lolote la kigaidi sawa na lililotokea Westgate.Kwa mujibu wa vyombo vya habari mmoja wa maafisa waliotakiwa kufika mbele ya kamati hiyo ni mkuu wa shirika la ujasusi Michael Gichangi, anayesema alitoa taarifa za ujasusi kuhusu shambulizi hilo kwa polisi.
Lakini, afisaa mmoja mkuu katika idara ya polisi alikana kuwa taarifa hiyo ilitolewa kwa polisi.
Chanzo: BBC
KIFO CHA MWANDISHI WA HABARI WA MWANANCHI VENANCE GEORGE.
Marehemu Venance George. |
Marehemu alikuwa akisumbuliwa na vidonda vya tumbo kwa muda mrefu na kifua hali iliyopelekea kwenda kulazwa katika hospitali ya Aga Khan iliyopo jijini Dar es salaam na kupata nafuu, Baada ya kurudi nyumbani hali ilbadilika tena na kupelekea kwenda kulazwa katika hospitali ya Holly Cross Mission iliyopo mkoani Morogoro na baadaye kuhamishiwa katika hospitali kuu ya mkoa wa Morogoro.
Marehemu alipata nafuu na kuruhusiwa kurudi nyumbani , baada ya siku kadhaa hali ilibadilika tena na kupelekea kwenda kulazwa hospitali ya mkoa wa Morogoro hadi umauti ulipomkuta mnamo tarehe 26/09/2013 saa 9:15.
-Marehemu
ameacha mjane na
watoto wawili wa kike na wa kiume.
HISTORIA
FUPI YA MAREHEMU
VENANCE GEORGE.
Marehemu
Venance George
Mhangilwa alizaliwa mnamo 8/12/1973 Bukoti wilaya ya Geita.
ELIMU:
-Marehemu
alisoma katika shule
ya msingi Bugogo kuanzia mwaka 1981 mpaka mwaka 1987 alipohitimu elimu
yake ya
msingi.
-Mnamo mwaka 1988 alianza kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Forest Hill iliyopo Morogoro na kuhitimu kidato cha sita mnamo mwaka 1994.
-Mnamo mwaka 1988 alianza kidato cha kwanza katika shule ya sekondari Forest Hill iliyopo Morogoro na kuhitimu kidato cha sita mnamo mwaka 1994.
-Mwaka 1995
alijiunga katika
chuo cha uandishi wa habari na kuhitimu mwaka 1996.
AJIRA:
Marehemu
alianza kazi ya uandishi
wa habari katika kampuni ya,
-Uhuru
Publication Limited, 1996-1998.
-Kuna
Entarprises Company
Limited, 1998-1999.
-Village
Travel And Transport
Project (VTTP), 2001-2003.
-Swiss-Contact
Tanzania
Limited, 2001-2003
-Mwananchi
Communication
Limited, 2003 mpaka mauti yalipomkuta.
Pia
alijiendeleza kimasomo
katika chuo kikuu huria cha Tanzania
ambapo alitakiwa kuhitimu shahada yake ya mawasiliano ya umma mwezi wa
12 mwaka
huu 2013.
Monday, September 16, 2013
ZITTO KABWE AKIHOJIANA NA MAMA ALIYEDAIWA KUWA MUHAMIAJI HARAMU KUMBE SIO.
"Mama huyu kakamatwa kama mhamiaji haramu na kupelekwa Ubalozi mdogo wa DR Congo uliopo Manispaa ya Kigoma. Amezaliwa Tanzania, amesomea Tanzania, Baba yake Mtanzania, Babu yake Mtanzania na Ndugu zake wengine Watanzania na hawakukamatwa. Amekamatwa akitoka kuchota maji ziwani Tanganyika. Malalamiko yake nimeyafikisha kwa Waziri wa Mambo ya Ndani".
Chanzo: Zitto Social media.
Chanzo: Zitto Social media.
Subscribe to:
Posts (Atom)