Wednesday, May 29, 2013

CHUO CHA VETA - MIKUMI CHAVUNJWA KUPISHA UPANUZI WA BARABARA.

Chuo cha VETA Mikumi kimevunjwa ukuta wote wa mbele hasa upande wa kukaa wateja Hoteli ya VETA Mikumi baada ya kuonekana kujengwa ndani ya hifadhi ya barabara.
Swali langu hapa ni kwanini hata Taasisi za serikali zinavunja sheria kwa kujenga hata kwenye hifadhi ya barabara?
Pongezi zangu za dhati ziwafikie wale wote waliofikia uamuzi huo wa kuvunja kuta hizo bila kujali kuwa hiyo ni Taasisi ya Serikali.







Tuesday, May 28, 2013

TENDER: SUPPLY OF WATER TREATMENT CHEMICALS DAWASCO


TENDER No. AE/032/ 2013-2014/HQ/G/01

FOR

SUPPLY OF WATER TREATMENT CHEMICALS


                            INVITATION FOR TENDERS



1.      The   Dare s salaam Water and Sewerage Corporation (DAWASCO)   has set aside funds for financial year 2013/2014 towards the cost of supplying water chemicals, and it intends to apply part of the proceeds of these funds to cover eligible payments under the contract for Procurement of Various Water Treatment Chemicals.

2.      The Dare s salaam Water and Sewerage Corporation now invites sealed tenders from eligible Suppliers for supplying water treatment chemicals as follows:

Lot No
Description
Unit
Quantity
1
Supply of water  chemical treatment Polymer Blend
Metric Tone
911
2
Supply of water Chemical Disinfectants case No. 1
Metric Tone
97.65
3
Supply of water Chemical Disinfectants case No. 2
Metric Tone
188.1
4
Supply of Poly Aluminum Chloride (PAC) powder
Metric Tone
740
5
Supply of Aluminum sulphate
Metric Tone
400
6
Supply of water treatment chemicals ( soda Ash)
Metric Tone
30

Tenderer may tender for a single lot or a combination of any lots, but in any case Tenderer must quote for full quantities in each lot. The purchaser shall evaluate   the Tender for each lot and award the contract on a lot- by – lot basis or a combination of lots whichever is more economical. Tenders not quoting full quantities in a lot will be considered as non-responsive.

  1. Tendering will be conducted through the International Competitive Tendering procedures specified in the Public Procurement (Goods, Works, Non-Consultant Service and Disposal of Public Assets by Tender) Regulations, 2005 – Government Notice No. 97 and are open to all Tenderers as defined in the Regulations.
  2. Eligible Tenderers may obtain further information from and inspect the Tendering Documents at the office of the  Secretary, DAWASCO Tender Board, DAWASCO House 2453/188 Sokoine Drive P.O. Box 5340 Dar es Salaam from 8:00 toAM 04:00pm on Monday to Friday inclusive, except on public holidays.

5.      A complete set of Tendering Documents may be purchased by any interested Tenderer upon submission of a written application to the address given under paragraph 4 above and upon payment of a non-refundable fee of Tsh.50,000.00 (Tanzanian Shillings fifty thousand Only) or equivalent in freely convertible currency. Payments shall be made either be by Banker’s Cheque, Banker’s Draft or Cash to be paid to the cashier’s office near reception office at DAWASCO Headquarters’ office.

6.      All Tenders must be accompanied by a Tender security in an acceptable form in the amount of 1% of the tender value or freely convertible currencies in case of foreign Tenderers

  1. All tenders in one original plus two copies properly filled in, and enclosed in plain envelopes must be delivered to the address below clearly marked Tender number AE/032/2013-2014/HQ/G/01 at or before WEDNESDAY 12 JUNE.2013 at 14:00pm HRS local time. Tenders will be opened promptly thereafter in public and in the presence of Tenderers’ representatives who choose to attend in the opening at the DAWASCO Boardroom, DAWASCO House, Plot No.2453/188 Sokoine Drive.

8.      Late Tenders, Portion of Tenders, Electronic Tenders, Tenders not received, Tenders not opened and not read out in public at the tender opening ceremony shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.




                                                        CHIEF EXECUTIVE OFFICE


DAWASCO HOUSE, 2453/188 SOKOINE DRIVE

P.O.BOX 5340

                                                                   DAR ES SALAAM

Monday, May 27, 2013

HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI MHE. HALIMA JAMES MDEE (MB)

 

HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI MHE. HALIMA JAMES MDEE (MB) KUHUSU MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA 2012/2013 NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI KWA MWAKA WA FEDHA 2013/14

 I.   UTANGULIZI

Mheshimiwa Spika, hakuna ubishi kwamba ardhi ndio msingi mkuu wa uchumu wa taifa lolote, na kwa maana hiyo ardhi ni msingi maisha ya mwanadamu.  Ardhi ni miongoni mwa vitu vikuu vine vinavyohitajika ili taifa liendelee.  Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwashi kusema “Ili taifa liendelee linahitaji watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora
Mheshimiwa Spika, nimekuwa nikijiuliza kuhusu chimbuko la umasikini uliokithiri Tanzania kwa kuzingatia vigezo vya maendeleo alivyotoa Hayati Mwalimu Nyerere.  Baada ya kufanya marejeo ya machapisho mbalimbali lakini pia baada yakupata uzoefu wa uongozi kama Mbunge wa Wananchi na hasa kama Waziri Kivuli kwa Arhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, na kwa kuzingatia mwenendo halisi wa watawala hapa Tanzania nimegundua kuwa kiwazo kikubwa kwa maendeleo ya nchi yetu sio watu (watu wapo wengi sana takribani milioni 45), tatizo sio ardhi (hiyo ipo ya kutosha na ziada takribani hekta milioni 94.3[1]).
Mheshimiwa Spika, tatizo ni “siasa safi na uongozi bora”. Tofauti na Kauli Mbiu mkakati za kisiasa enzi za Mwalimu, kwamba Sisa ni kilimo,  Uhuru na Kazi, Kilimo cha Kufa na Kupona, sasa hivi tunashuhudia siasa za watawala za kuongeza umasikini wan chi hii “kwa ari na kasi zaidi, tunashuhudia watawala wakijigamba kwamba wamethubutu na wameweza” kuwa mafisadi wa rasilimali za nchi hii.
Mheshimiwa Spika, maneno niliyoyatumia hivi punde hayanifurahishi hata kidogo, lakini nimelazimika kuyasema kwa kuwa sioni watawala wa nchi hii wakifikiri namna ya kumkomboa mtanzania kutoka kwenye wimbi la umasikini, bali kila mmoja anajitahidi kujilimbikizia mali hasa kwa hofu ya kuondolewa madarakani (akakosa namna ya kuishi) kutokana na kuenea kwa kasi na kuungwa mkono kwa wingi na wananchi kwa chama kikuu cha upinzani nchini cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).
Mheshimiwa Spika, nasikitika sana kwamba badala ya Serikali ya CCM kutumia muda na rasilimali ilizo nazo kutatua matatizo sugu ya kiuchumi ya taifa hili (hususan uporaji wa ardhi ya wananchi), inatumia fedha nyingi za umma kupambana na CHADEMA ambayo inatetea maslahi ya wananchi.
Mheshimiwa Spika,  Nchii hii ina rasilimali nyingi sana ikiwemo ardhi  ambazo zingeweza kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi za ulimwengu wa pili kiuchumi,  lakini tuna tatizo la uhaba wa  viongozi wenye “ufahamu, maadili  na busara” ya kutumia rasilimali hizi kwa maslahi ya taifa.
Mheshimiwa Spika, kutokana na ombwe la uongozi katika taifa hili, na kutokana na “ubinafsi, ulafi na ufisadi” wa viongozi waliopewa dhamana ya kusimamia rasilimali za nchi yetu, leo taifa hili ni masikini, miaka hamsini na mbili baada ya uhuru.
Mhshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na CHADEMA imekuwa ikibainisha mapungufu na kasoro nyingi katika masuala ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi tangu mwaka 2011 hadi leo, lakini Serikali hii ya CCM imeendelea kuwa na shingo ngumu kuyafanyia kazi mapendekezo ya Kambi ya Upinzani jambo ambalo linaendelea kusababisha migogoro mingi na ufisadi katika umiliki na matumizi ya ardhi hapa nchini
Mheshimiwa Spika, katika hotuba ya msemaji mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani katika bajeti ya wizara hii kwa mwaka wa fedha 2011/2012, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ilianisha matatizo makubwa ya  ardhi nyumba na maendeleo ya makazi na kuitaka Serikali kutafuta ufumbuzi kwa kuchukua hatua za haraka. Matatizo hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
1.      Uporaji wa ardhi ya Tanzania unaofanywa chini ya usimamizi wa Serikali kwa mbinu au hila ya uwekezaji,
2.      Ufisadi wa ardhi unaofanywa na viongozi wa Serikali na Chama cha Mapinduzi  kwa kuuziana ardhi kwa bei ya kutupwa,
3.      Ukiukwaji mkubwa wa Sheria ya Ardhi namba 4 ya mwaka 1999 na Sheria namba 5 ya ardhi ya vijiji ambapo viongozi wa Serikali walikuwa wakigawa ardhiki holela bila kuzingatia matakwa ya sheria hizo,
4.      Migogoro mikubwa ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji ambayo kwa nyakati tofauti imepelekea umwagaji wa damu miongoni mwa wananchi,
5.      Matatizo makubwa katika tathmini ya malipo ya fidia kwa wananchi wanaotakiwa kuondoka katika maeneo yao kupisha matumizi mapya ya ardhi,
6.      Kuendelea kupanda kwa bei ya vifaa vya ujenzi jambo ambalo limesababisha wananchi kuendelea kuishi katika makazi duni na hivyo kuhatarisha usalama wao na kutweza utu wao,
7.       Serikali na taasisi zake kutolipa kodi za pango kwa wakati kwa Shrika la Nyumba la Taifa na hivyo kulirudhisha nyuma kimaendeleo, na
8.      Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba bora na Vifaa vya Ujenzi kushindwa  kuleta mabadiliko kutokana na kuongezeka kwa nyumba zisizo bora ( kama vile nyumba za tembe, tope na nyasi) na kuongezeka kwa bei ya vifaa vya ujenzi


MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA LGTI-HOMBOLO, TAREHE 27-05-2013

Usaili wa ana kwa ana kwa kada za Tutorial Assistant-Community Development, Tutorial Assistant-Human Resources Management na Janitor utafanyika kesho chuoni, LGTI- Hombolo, Dodoma. kuanzia saa moja kamili asubuhi.
Wasailiwa wanatakiwa kufika na vyeti halisi (ORIGINAL CERTIFICATES)

TUTORIAL ASSISTANT-COMMUNITY DEVELOPMENT
EXAMINATION NUMBER     SCORES  REMARKS
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2003    81    SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2006    77    SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2002    71    SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2016    70    SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2011    65    SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2020    62    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2023    62    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2028    62    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2010    61    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2012    61    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2021    61    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2018    60    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2024    56    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2001    53    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2008    53    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2029    53    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2027    50    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2030    50    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2000    42    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2019    38    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2009    32    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2014    21    NOT SELECTED
PSRS-TA-COMDEV-LGTI-2025    21    NOT SELECTED


KINANA NA NAPE NAUYE KUWASHA MOTO MKOANI NJOMBE.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakisalimia baadhi ya viongozi, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Iringa asubuhi hii (jana), kwa ajili ya kuanza ziara ya siku saba, mkoani Njombe. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Joyce Msambatavangu.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana  akiwa na viongozi wa mkoa wa Iringa. Nyuma ni Nape Nape naye akiwa na wenyeji.

Kinana akisaini kitabu cha wageni Uwanja wa Ndege wa Iringa baada ya kuwasili uwanjani hapo asubuhi hii (jana). Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Joyce Msavatavangu

Nape akisaini kitabu cha wageni

ENGINEERING SCHOLARSHIP AT UNIVERSITY OF ABERDEEN IN UK, 2013

The University of Aberdeen, UK is offering Engineering scholarship for international students.This scholarship is available for pursuing  full time MSc degree in Safety & Reliability Engineering. This scholarship is valued at £15,000 for the one year duration of the programme. Applicants must receive and then firmly accept an unconditional offer of a place for programme at university before applying this scholarship.The application deadline is 2nd of August 2013.


HUU NDIO USAJILI WA SIMBA NA YANGA MSIMU UJAO.

Huu ndo ukweli usiopingika kuwa Wekundu wa Msimbazi wanatafuta silaha kutoka sehemu nyingine huku wazee wa Jangwani wakiwa wameweka mlija wao klabuni hapo na kunyonya silaha kutoka kwa wekundu hao.
Tafakari,chukua hatua.

BREAKING NEWS:TRENI YAUA UKONGA DAR.

Muda si mrefu uliopita treni ya abiria imegonga gari ndogo aina ya RAV 4 na kuua dereva ambaye ni mwanaume na abiria mmoja wa kike bado yuko mahututi.


Sunday, May 26, 2013

UKWELI KUHUSU VURUGU ZA MTWARA



WACHEZAJI 30 WA TWIGA STARS WAITWA KAMBINI.

Twiga Stars.
Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya wanawake ya mpira wa miguu (Twiga Stars), Rogasian Kaijage amewaita kambini wachezaji 30 ikiwa ni mwendelezo wa kuijenga na kuiimarisha timu hiyo.

Twiga Stars itakuwa na kambi ya siku kumi kuanzia Jumapili hii (Mei 26 mwaka huu) ambapo baadaye inatarajia kucheza mechi moja ya kirafiki kabla ya wachezaji kurudi kwenye klabu zao.

Kambi hiyo ni mwendelezo wa programu iliyopendekezwa na kocha kuijenga na kuiimarisha timu hiyo kwa vile haina mashindano mwaka huu, na itakuwa kambi ya pili baada ya ile iliyofanyika Machi mwaka huu.

Wachezaji walioitwa na klabu zao kwenye mabano ni Asha Rashid (Mburahati Queens), Aziza Mwadini (Zanzibar), Belina Julius (Lord Barden), Ester Chabruma (Sayari), Ester Mayala (TSC Academy), Eto Mlenzi (JKT), Evelyn Sekikubo (Mburahati Queens) na Fatuma Bushiri (Mburahati Queens).
Fatuma Hassan (Mburahati Queens), Fatuma Omari (Sayari), Flora Kayanda (Tanzanite), Hamisa Athuman (Marsh Academy), Hellen Peter (JKT), Maimuna Said (JKT), Mwajuma Abdallah (Tanzanite), Mwanahamisi Omari (Mburahati Queens), Mwanaidi Tamba (Mburahati Queens) na Mwapewa Mtumwa (Sayari).
Nabila Ahmed (Marsh Academy), Pulkeria Charaji (Sayari), Rehema Abdul (Lord Barden), Rukia Khamis (Uzuri Queens), Semeni Abeid (Tanzanite), Sharida Boniface (Makongo Sekondari), Sophia Mwasikili (Sayari), Therese Yona (TSC Academy), Vumilia Maarifa (Evergreen) na Zena Khamis (Mburahati Queens).

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...