Saturday, July 12, 2014

DIAMOND ATOA KIBAO KIPYA CHA "BUM BUM" AKIMSHIRIKISHA MSANII LYANYA TOKA NIGERIA. IONE VIDEO YAKE HAPA.

Baada ya Msanii maarufu wa Bongo flava nchini Tanzania Diamond kutamba na kibao chake cha "Number One" na kufuatiwa na kibao cha "Number One Remix" akiwa amemshirikisha Davido, sasa msanii huyo katoa kibao kipya kiitwacho "BUM BUM" akimshirikisha msanii kutoka Nigeria aitwaye Lyanya.
Ni hii hapa ndiyo video ya wimbo huo:

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...