Tuesday, June 23, 2015

Matokeo ya usaili wa mchujo IRDP 22-Juni-2015

Matokeo ya usaili wa mchujo uliofanyika katika chuo cha Mipango (IRDP) Dodoma 22-Juni-2015
wasailiwa waliofaulu usaili wa mchujo wanakumbushwa kuwa usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 24-Juni-2015 katika Chuo cha Mipango (IRDP) Dodoma kuanzia saa moja kamili asubuhi, wasailiwa wote wanakumbushwa kuja na vyeti vyote halisi (original certificates)

KADA: INTERNAL AUDITOR II               
MWAJIRI: INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING (IRDP)
               
S/N   EXAMINATION NUMBER       SCORE    REMAKRS

1      IRDP IA 0005           78.5    SELECTED
2      IRDP IA 0013           70    SELECTED
3      IRDP IA 0011           51.5    SELECTED
4      IRDP IA 0008           27.5    NOT SELECTED


KADA: ASSISTANT DEAN OF STUDENT III               
MWAJIRI: INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING (IRDP)   
           
S/N    EXAMINATION NUMBER        SCORE    REMARKS
1    IRDP ASS DEAN STU 0082        78    SELECTED
2    IRDP ASS DEAN STU 0018        77.5    SELECTED

Thursday, June 18, 2015

JOB VACANCIES - MUHAS.

JOB VACANCY - TPDC (RISK-MANAGER).

SCHOLARSHIPS TENABLE THE PANDIT DEEN DAYAL PETROLEUM UNIVERSITY FOR THE ACADEMIC YEAR 2015/16.

The Pandit Deen Dayal Petroleum University (PADPU) is offering scholarships in the fields of Petroleum Management, Petroleum Technology, Liberal Arts and Solar Energy on fulltime basic at Undergraduate, Post-Graduate levels and PhD courses.
MODE OF APPLICATION
Application will be online ,Eligible and interested candidates are strongly advised to contact the below mentioned addresses for further details
Please note that selection will be undertaken by the Pandit Deen Dayal at Petroleum University.
Issued by:
Ministry of Education and Vocational Training,
7 Magagoni Street,
Post Code 11479,
P.O. Box 9121,

DAR ES SALAAM

JOB VACANCIES - SUA

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA.

Mkaguzi Fahd Masanja (Katikati) akitoa elimu kuhusu Ukaguzi wa Serikali Kuu kwa mmoja wa wananchi waliotembelea Banda la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi. Kushoto ni Bw. Roy Mchomvu, Mchambuzi wa Mifumo ya Kompyuta wa Ofis ya Taifa ya Ukaguzi.

Bibi Salma Pamui, Mkaguzi wa Idara ya Pensheni (aliyenyanyua mikono) akitoa elimu kuhusu uhakiki wa taarifa za wastaafu kwa mwananchi aliyetembelea Banda la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi. Idara ya Pensheni ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi, ni Idara inayohakiki taarifa za wastaafu wote wa Serikali kabla ya kulipwa mafao yao.

Tuesday, June 16, 2015

Matokeo ya usaili wa mchujo 15-Juni-2015 - UTUMISHI

Wasailiwa walichaguliwa kuendelea na usaili wa mahojiano wanatakiwa kufika muda, mahali na tarehe kama ilivyooneshwa kwenye ratiba ya usaili wakiwa na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
KADA: COMPUTER OPERATOR               
MWAJIRI: UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM)
               
S/N   EXAMINATION NUMBER    SCORE    REMARKS
1    UDSM COMPUTER 0003       68    SELECTED
2    UDSM COMPUTER 0009       66    SELECTED
3    UDSM COMPUTER 0001       61    SELECTED
4    UDSM COMPUTER 0006       57    SELECTED
5    UDSM COMPUTER 0002       50    SELECTED

Friday, June 12, 2015

SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA IDADI YA WATU (UNFPA) TANZANIA KWA KUSHIRIKIANA NA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAENDESHA WARSHA KATIKA HOTEL YA AFRILUX MJINI MUSOMA.

Mwezeshaji Dr. Deograsias P. Mushi ambae pia ni Mchumi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Mtafiti wa Ecom Research Group akishusha nondo kwa wanawarsha juu ya mambo mbalimbali yanayohusu ujumuishaji wa masuala ya vijana katika mipango ya maendeleo ya mkoa na wilaya.


Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) Tanzania kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, wameandaa warsha kwa ajili ya kuhamasisha na kuwajengea uwezo watumishi wa Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu kujumuisha masuala ya vijana katika mipango ya Mkoa na wilaya.

Warsha hiyo inafanyika katika vituo vya Mwanza na Musoma. Katika kituo cha Musoma warsha inafanyika katika ukumbi wa Afrilux Hotel tarehe 11 na 12 Juni 2015. Kituo hiki kinajumuisha Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri za mkoa wa Mara na Simiyu.

Washiriki wa warsha ni Makatibu Tawala Wasaidizi (Mipango na Uratibu), Maafisa Watakwimu (RS), Maafisa Mipango wa Wilaya, Maafisa Elimu ya Msingi wa Wilaya na Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya.
Washiriki wa warsha kutoka Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri za mkoa wa Mara na Simiyu wakiwa katika picha ya pamoja na wawezeshaji wa warsha hiyo.

Thursday, June 11, 2015

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDESHA MAFUNZO KWA TAASISI WADAU WA USIMAMIZI WA SHERIA.

Afisa Sheria wa NAOT, Bw. Frank Sina (kulia) akizungumza katika mafunzo hayo.
Na Mwandishi wetu.
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi imeendesha mafunzo ya siku moja ya Taasisi Wadau wa Usimamizi wa Sheria juu ya Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu  za Serikali (CAG) na jinsi ya kuitafsiri yanayofanyika katika Hoteli ya Den France jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad alisema kuwa mafunzo yanalenga kuwapa ufahamu juu ya ripoti za ukaguzi ambazo Ofisi yake inazitoa, na jinsi ya kuzitafsiri na kushughulikia masuala ya maadili yanatokana na ripoti za ukaguzi.
Prof. Assad aliongeza kuwa mafunzo hayo yanafanyika kwa kuzingatia Kifungu cha 27 cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma, 2008, kama ilivyofanyiwa mabadiliko na Sheria ya Fedha Na. 10 ya mwaka 2010.
Kwa mujibu wa kifungu hiki, kinawataka wakaguzi wanaofanya kazi kwa niaba ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali mara tu wanapobaini kuwepo kwa viashiria vya ulaghai/kugushi au rushwa wanapokuwa wanafanya ukaguzi kutoa taarifa kwa CAG.
Kifungu kinaongeza kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali akithibitisha kuwepo wa viashiria hivyo anapaswa mara moja kuvitaarifu vyombo vya dola vya uchunguzi na nakala ya taarifa hiyo kuiwasilisha kwa Mkurugenzi wa Mashitaka.
“Kifungu hiki kinaeleza vyombo hivyo vya dola (DCI/PCCB) kufanya uchunguzi wa kitaalamu juu ya tuhuma hizo na kukamilisha zoezi la uchunguzi ndani ya siku 60 tangu siku ya kwanza. Mara baada ya kumaliza uchunguzi huu vinapaswa kuwasilisha ripoti yao kwa Mkurugenzi wa Mashitaka kwa ajili ya maamuzi ya hatua za kisheria zinazopaswa kuchukuliwa. Mkurugenzi wa Mashitaka anapaswa kwa mujibu wa kifungu hiki kumtaarifu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu juu ya hatua alizochukua,” Prof. Assad alifafanua.

Prof. Assad alisema kuwa utekelezaji wa kifungu hiki kwa sasa unaendelea ingawa wakuu wa Taasisi wadau waliona ni vyema kuwepo na mpango maalumu wa utekelezaji wake. Kwa mujibu wa CAG, mpango huu utaongeza ufanisi zaidi katika utekelezaji wa matakwa ya sheria ya ukaguzi.
Prof. Assad aliongeza kuwa licha ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kupongezwa kutokana na utendaji kazi wake, hata hivyo, kumekuwa na malalamiko kuwa hakuna hatua za kuridhisha zinazochukuliwa. “Kwa mujibu wa maoni ya wananchi wa kawaida, hakuna hatua stahiki zinazochukuliwa dhidi ya watu wanaobainika kufuja mali za umma au kutumia mamlaka yao vibaya kama ripoti hizo zinavyokuwa zinaonesha,” alisisitiza.
Prof. Assad aliongeza kwa kuzingatia maoni hayo, mafunzo hayo yanategemea kuboresha ufanisi katika utendaji kazi kwa washiriki wa mafunzo. Aliwasihi washiriki wa mafunzo hayo wakiwa sehemu ya wadau katika maendeleo ya Tanzania hawana budi kusimamia uwajibikaji na kusimamia utawala bora ili kuongeza kasi ya maendeleo ya nchi.
Prof. Assad aliongeza kuwa mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa shughuli za mradi unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Watu wa Marekani (USAID) katika Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.
“Naishukuru sana USAID kwa kufadhili mafunzo haya kwani yanachochea uelewa wa namna bora ya kutafsiri ripoti za ukaguzi na kushughulikia masuala ya maadili yanatokana na ripoti hizo,” aliongeza Prof. Assad.
Akizungumza kwa niaba ya washiriki wa mafunzo hayo, Mchambuzi wa Masuala ya Fedha kutoka Ofisi ya Rais, Bw. Stephene Likunga alimuomba CAG kuendelea kutoa mafunzo hayo kila wakati ili kuwaongezea uwezo wataalam wanaotumia Taarifa za Mkaguzi Mkuu.

“Tunaomba mafunzo haya kuwa endelevu ili kuwa tija katika kuchambua kwa kina taarifa zako kwa kina kwa faida ya umma,” alisema.
Mkurugenzi Msaidizi wa Mafunzo, Bibi Felista Tirutangwa (aliyesimama) akizungumza wakati wa kumkaribisha Mgeni Rasmi, Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Taasisi Wadau wa Usimamizi wa Sheria Juu ya Ripoti ya Ukaguzi ya CAG na Jinsi ya Kuitafsiri yaliyofanyika katika Hoteli ya Den France, Dar es Salaam.

CALL FOR ORAL INTERVIEW FOR ADMINISTRATIVE AND TECHNICAL POSITION- MUHAS.

KUITWA KWENYE USAILI - UTUMISHI.

Tuesday, June 9, 2015

BRAZIL SCHOLARSHIP FOR 2015-2016 ACADEMIC YEAR.

The Government Republic of Brazil is offering scholarships for qualified Tanzanians under the programme Brazilian Exchange Program for Undergraduate Students (PEC – G) for academic year 2015/2016
1.0 Financial Conditional of Scholarships

The Scholarship will Cover:-
    1. Tuition fee;
    2. Purchase of air tickets;
    3. Allowance money should be catered for solely by the students themselves.
2.0  PEC – G Conditions for Application
(i) Be a Citizen and resident of Tanzania
(ii) Age between 18 to 23 years old by December 31, 2015.
(iii) Have completed high school at the average of equal or above 60% (grade C).
(iv) Have obtained the certificate of proficiency in Portuguese.
(v) Applicants who have not concluded high School on the date of Application may present their certificate of conclusion in the moment of enrollment in the assigned Brazilian Higher Education Institution (Result slip).
(vi) Have obtained the certificate of proficiency in Portuguese as a Foreign Language Celpe – Bras exam.
(vii) Applicants from Countries where there is no  Celpe -  Bras exam must take the exam in Brazil in sole opportunity, upon the conclusion of the Portuguese as a Foreign Language preparatory course to the Celpe – Bras exam, in an accredited Higher Education Institution .
(viii) Applicants who fail the Celpe – Bras exam taken if Brazil will not be able to participate in PEC – G.  Their registration will be considered invalid and their staying in Brazil will be  terminated.

3.0  Who cannot apply to PEC – G

OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO KWA KUSHIRIKIANA NA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA IDADI YA WATU (UNFPA) TANZANIA YAENDESHA WARSHA KATIKA HOTEL YA GOLD CREST JIJINI MWANZA KWA AJILI KUHAMASISHA NA KUJENGA UWEZO WA KUJUMUISHA MASUALA YA VIJANA KATIKA MIPANGO YA MAENDELEO YA MKOA NA WILAYA

Washiriki wa warsha kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita ambao ni Makatibu Tawala Wasaidizi (Mipango na Uratibu), Maafisa Watakwimu (RS), Maafisa Mipango wa Wilaya, Maafisa Elimu ya Msingi wa Wilaya na Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya wakimsiliza kwa makini mwezeshaji.
Na: Thomas Nyindo
       Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango
Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) Tanzania, wameandaa warsha ya kuhamasisha na kujenga uwezo kwa watumishi wa Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu kujumuisha masuala ya vijana katika mipango ya Mkoa na wilaya.
Warsha hiyo inafanyika katika vituo vya Mwanza na Musoma. Katika kituo cha Mwanza warsha inafanyika tarehe 8 na 9 Juni 2015, kituo ambacho kinajumuisha Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri za mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita.
Washiriki wa warsha hii ni Makatibu Tawala Wasaidizi (Mipango na Uratibu), Maafisa Watakwimu (RS), Maafisa Mipango wa Wilaya, Maafisa Elimu ya Msingi wa Wilaya na Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya.

Friday, May 29, 2015

CAREER OPPORTUNITIES - TPDC.

MAURITIUS SCHOLARSHIPS FOR TANZANIANS 2015.

The Government of Mauritius is offering scholarships for undergraduate studies in Public Tertiary Education Institutions in Mauritius deservingTanzanian students in 2015.
GUIDELINES FOR APPLICANTS
1. Financial Conditions of the Scholarship 
1.1 The Scholarship will cover:
 (i) A monthly living allowance,
 (ii) Tuition fees, and
(iii) Student airfare (economy class) by the most economical route to and from Mauritius at the start and the end of the studies. 
1.2 The duration of the scholarship will be for a maximum of four (4) years depending on the course. 
2. Eligibility
2.1 Be resident citizens of Tanzania
2.2 Scholarships shall not be awarded for:
 (i) Top-up degree programmes;
 (ii) Foundation programmes; and
 (iii) Mixed modes (distance and on-campus learning) 
2.3Age Limit:
 Candidates should not be below 18 years and not more than 25 years of age at the date of application. 
3.0. Procedure for submitting applications
 3.1 The Procedure for submitting applications is as detailed below: 
3.2 ALL candidates must submit the fully completed application forms and certified copies of the following documents as part of their application by 10th June 2015: 
(i) Birth certificate 
(ii) O-Level and A-Level Secondary Education Certificates or Equivalent Diploma Certificate with B+ grade , (iii)transcripts of secondary school results/Diploma,
 (iv) Mark sheets relating to the qualifications, 
(v) Medical certificate mentioning that applicant is free from any contagious disease eg.HIV/AIDS
(vi) Letter of conditional offer by a public tertiary education institution in Mauritius (if available at time of submission).
NB

CALL TO APPEAR FOR INTERVIEW - SUA.

Thursday, May 28, 2015

JOB VACANCIES ADVERTISEMENT- TBS.

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO WA TAREHE 25-05-2015

 Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili wa mahojiano wanatakiwa kufika muda, tarehe, na mahali kama inavyo onesha kwenye tangazo la ratiba ya usaili.
Wasailiwa wanakumbushwa pia kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)

KADA: LAND OFFICER II (AFISA ARDHI II)           
MWAJIRI: MDAs           
           
NA  EXAM NUMBER           SCORE   REMARKS
1    MDAS-PSRS-LAND-621    65    SELECTED
2    MDAS-PSRS-LAND-104    63    SELECTED
3    MDAS-PSRS-LAND-106    63    SELECTED
4    MDAS-PSRS-LAND-276    63    SELECTED
5    MDAS-PSRS-LAND-005    62    SELECTED
6    MDAS-PSRS-LAND-022    62    SELECTED
7    MDAS-PSRS-LAND-259    62    SELECTED
8    MDAS-PSRS-LAND-264    62    SELECTED
9    MDAS-PSRS-LAND-039    62    SELECTED
10    MDAS-PSRS-LAND-135    61    SELECTED
11    MDAS-PSRS-LAND-096    60    SELECTED
12    MDAS-PSRS-LAND-317    60    SELECTED
13    MDAS-PSRS-LAND-463    60    SELECTED

Wednesday, May 27, 2015

JOB VACANCIES ADVERT - IHI.

JOB VACANCIES ADVERTISEMENT - HURBERT KAIRUKI UNIVERSITY.


Ukweli juu ya Umri wa Sitti Mtemvu bado mzigo mzito kwake.

Mtangazaji wa kipindi cha NIRVANA akiwa na mrembo Sitti Mtemvu.

Miss Tanzania ambaye alilivua taji mwaka jana 2014, Sitti Abas Mtemvu amekiri wazi kuwa maisha yake hayakuwa na amani tena toka skendo yake ya kudanganya umri katika mashindano ya Miss Tanzania, ambapo yeye aliweza kuibuka mshindi na kuvishwa taji hilo, Jana kupitia katika kipindi cha Fashion cha NIRVANA cha EATV,

Certificate and Diploma students selected to join SAUT main campus mwanza for the 2015/2016 academic year.


SCHOLARSHIPS ADVERTISEMENT - CUHAS.

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - TPDC.

Thursday, May 21, 2015

KINYEREZI I KUKAMILIKA MWAKA HUU.

Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Simon Jilima  (kulia)  akitoa maelezo kuhusu hali ya maendeleo ya mradi kwa wanajopo la ukaguzi kutoka Ofisi ya Raisi Tume ya Mipango, pichani ni  Bibi. Florence Mwanri (Katikati), Ndg, Robert  Masatu na  Ndg. Aloce Shayo, kwa mfuatano.

Na Oyuke Phostine Filemon 
Kituo cha kuchakata na kuzalisha umeme kwa njia ya gesi cha Kinyezi I kimekamilika kwa asilimia 88 na kinatarajiwa kuzalisha umeme kuanzia Septemba mwaka huu.

Hayo yalisemwa na Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Simon Jilima akiwatembeza katika kituo hicho wanajopo la ukaguzi wa miradi kutoka Ofisi ya Raisi Tume ya Mipango walipotembelea mradi huo.   

“Kazi zinazoendelea kwa sasa ni ufungaji wa mifumo katika mitambo; na njia za kusafirisha umeme msongo wa kV 220 kutoka Kinyerezi hadi Kimara na kV 132 Kinyerezi hadi eneo la viwanda la Gongolamboto, alisema Mhandisi Jilima.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...