Tuesday, June 16, 2015

Matokeo ya usaili wa mchujo 15-Juni-2015 - UTUMISHI

Wasailiwa walichaguliwa kuendelea na usaili wa mahojiano wanatakiwa kufika muda, mahali na tarehe kama ilivyooneshwa kwenye ratiba ya usaili wakiwa na vyeti vyao halisi (Original Certificates)
KADA: COMPUTER OPERATOR               
MWAJIRI: UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM)
               
S/N   EXAMINATION NUMBER    SCORE    REMARKS
1    UDSM COMPUTER 0003       68    SELECTED
2    UDSM COMPUTER 0009       66    SELECTED
3    UDSM COMPUTER 0001       61    SELECTED
4    UDSM COMPUTER 0006       57    SELECTED
5    UDSM COMPUTER 0002       50    SELECTED

Friday, June 12, 2015

SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA IDADI YA WATU (UNFPA) TANZANIA KWA KUSHIRIKIANA NA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO YAENDESHA WARSHA KATIKA HOTEL YA AFRILUX MJINI MUSOMA.

Mwezeshaji Dr. Deograsias P. Mushi ambae pia ni Mchumi kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Mtafiti wa Ecom Research Group akishusha nondo kwa wanawarsha juu ya mambo mbalimbali yanayohusu ujumuishaji wa masuala ya vijana katika mipango ya maendeleo ya mkoa na wilaya.


Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) Tanzania kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, wameandaa warsha kwa ajili ya kuhamasisha na kuwajengea uwezo watumishi wa Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu kujumuisha masuala ya vijana katika mipango ya Mkoa na wilaya.

Warsha hiyo inafanyika katika vituo vya Mwanza na Musoma. Katika kituo cha Musoma warsha inafanyika katika ukumbi wa Afrilux Hotel tarehe 11 na 12 Juni 2015. Kituo hiki kinajumuisha Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri za mkoa wa Mara na Simiyu.

Washiriki wa warsha ni Makatibu Tawala Wasaidizi (Mipango na Uratibu), Maafisa Watakwimu (RS), Maafisa Mipango wa Wilaya, Maafisa Elimu ya Msingi wa Wilaya na Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya.
Washiriki wa warsha kutoka Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri za mkoa wa Mara na Simiyu wakiwa katika picha ya pamoja na wawezeshaji wa warsha hiyo.

Thursday, June 11, 2015

OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDESHA MAFUNZO KWA TAASISI WADAU WA USIMAMIZI WA SHERIA.

Afisa Sheria wa NAOT, Bw. Frank Sina (kulia) akizungumza katika mafunzo hayo.
Na Mwandishi wetu.
Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi imeendesha mafunzo ya siku moja ya Taasisi Wadau wa Usimamizi wa Sheria juu ya Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu  za Serikali (CAG) na jinsi ya kuitafsiri yanayofanyika katika Hoteli ya Den France jijini Dar es Salaam.
Akizungumza wakati akifungua mafunzo hayo, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad alisema kuwa mafunzo yanalenga kuwapa ufahamu juu ya ripoti za ukaguzi ambazo Ofisi yake inazitoa, na jinsi ya kuzitafsiri na kushughulikia masuala ya maadili yanatokana na ripoti za ukaguzi.
Prof. Assad aliongeza kuwa mafunzo hayo yanafanyika kwa kuzingatia Kifungu cha 27 cha Sheria ya Ukaguzi wa Umma, 2008, kama ilivyofanyiwa mabadiliko na Sheria ya Fedha Na. 10 ya mwaka 2010.
Kwa mujibu wa kifungu hiki, kinawataka wakaguzi wanaofanya kazi kwa niaba ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali mara tu wanapobaini kuwepo kwa viashiria vya ulaghai/kugushi au rushwa wanapokuwa wanafanya ukaguzi kutoa taarifa kwa CAG.
Kifungu kinaongeza kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali akithibitisha kuwepo wa viashiria hivyo anapaswa mara moja kuvitaarifu vyombo vya dola vya uchunguzi na nakala ya taarifa hiyo kuiwasilisha kwa Mkurugenzi wa Mashitaka.
“Kifungu hiki kinaeleza vyombo hivyo vya dola (DCI/PCCB) kufanya uchunguzi wa kitaalamu juu ya tuhuma hizo na kukamilisha zoezi la uchunguzi ndani ya siku 60 tangu siku ya kwanza. Mara baada ya kumaliza uchunguzi huu vinapaswa kuwasilisha ripoti yao kwa Mkurugenzi wa Mashitaka kwa ajili ya maamuzi ya hatua za kisheria zinazopaswa kuchukuliwa. Mkurugenzi wa Mashitaka anapaswa kwa mujibu wa kifungu hiki kumtaarifu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu juu ya hatua alizochukua,” Prof. Assad alifafanua.

Prof. Assad alisema kuwa utekelezaji wa kifungu hiki kwa sasa unaendelea ingawa wakuu wa Taasisi wadau waliona ni vyema kuwepo na mpango maalumu wa utekelezaji wake. Kwa mujibu wa CAG, mpango huu utaongeza ufanisi zaidi katika utekelezaji wa matakwa ya sheria ya ukaguzi.
Prof. Assad aliongeza kuwa licha ya Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi kupongezwa kutokana na utendaji kazi wake, hata hivyo, kumekuwa na malalamiko kuwa hakuna hatua za kuridhisha zinazochukuliwa. “Kwa mujibu wa maoni ya wananchi wa kawaida, hakuna hatua stahiki zinazochukuliwa dhidi ya watu wanaobainika kufuja mali za umma au kutumia mamlaka yao vibaya kama ripoti hizo zinavyokuwa zinaonesha,” alisisitiza.
Prof. Assad aliongeza kwa kuzingatia maoni hayo, mafunzo hayo yanategemea kuboresha ufanisi katika utendaji kazi kwa washiriki wa mafunzo. Aliwasihi washiriki wa mafunzo hayo wakiwa sehemu ya wadau katika maendeleo ya Tanzania hawana budi kusimamia uwajibikaji na kusimamia utawala bora ili kuongeza kasi ya maendeleo ya nchi.
Prof. Assad aliongeza kuwa mafunzo hayo yanafanyika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa shughuli za mradi unaofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Watu wa Marekani (USAID) katika Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.
“Naishukuru sana USAID kwa kufadhili mafunzo haya kwani yanachochea uelewa wa namna bora ya kutafsiri ripoti za ukaguzi na kushughulikia masuala ya maadili yanatokana na ripoti hizo,” aliongeza Prof. Assad.
Akizungumza kwa niaba ya washiriki wa mafunzo hayo, Mchambuzi wa Masuala ya Fedha kutoka Ofisi ya Rais, Bw. Stephene Likunga alimuomba CAG kuendelea kutoa mafunzo hayo kila wakati ili kuwaongezea uwezo wataalam wanaotumia Taarifa za Mkaguzi Mkuu.

“Tunaomba mafunzo haya kuwa endelevu ili kuwa tija katika kuchambua kwa kina taarifa zako kwa kina kwa faida ya umma,” alisema.
Mkurugenzi Msaidizi wa Mafunzo, Bibi Felista Tirutangwa (aliyesimama) akizungumza wakati wa kumkaribisha Mgeni Rasmi, Mthibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo ya Taasisi Wadau wa Usimamizi wa Sheria Juu ya Ripoti ya Ukaguzi ya CAG na Jinsi ya Kuitafsiri yaliyofanyika katika Hoteli ya Den France, Dar es Salaam.

CALL FOR ORAL INTERVIEW FOR ADMINISTRATIVE AND TECHNICAL POSITION- MUHAS.

KUITWA KWENYE USAILI - UTUMISHI.

Tuesday, June 9, 2015

BRAZIL SCHOLARSHIP FOR 2015-2016 ACADEMIC YEAR.

The Government Republic of Brazil is offering scholarships for qualified Tanzanians under the programme Brazilian Exchange Program for Undergraduate Students (PEC – G) for academic year 2015/2016
1.0 Financial Conditional of Scholarships

The Scholarship will Cover:-
    1. Tuition fee;
    2. Purchase of air tickets;
    3. Allowance money should be catered for solely by the students themselves.
2.0  PEC – G Conditions for Application
(i) Be a Citizen and resident of Tanzania
(ii) Age between 18 to 23 years old by December 31, 2015.
(iii) Have completed high school at the average of equal or above 60% (grade C).
(iv) Have obtained the certificate of proficiency in Portuguese.
(v) Applicants who have not concluded high School on the date of Application may present their certificate of conclusion in the moment of enrollment in the assigned Brazilian Higher Education Institution (Result slip).
(vi) Have obtained the certificate of proficiency in Portuguese as a Foreign Language Celpe – Bras exam.
(vii) Applicants from Countries where there is no  Celpe -  Bras exam must take the exam in Brazil in sole opportunity, upon the conclusion of the Portuguese as a Foreign Language preparatory course to the Celpe – Bras exam, in an accredited Higher Education Institution .
(viii) Applicants who fail the Celpe – Bras exam taken if Brazil will not be able to participate in PEC – G.  Their registration will be considered invalid and their staying in Brazil will be  terminated.

3.0  Who cannot apply to PEC – G

OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO KWA KUSHIRIKIANA NA SHIRIKA LA UMOJA WA MATAIFA LA IDADI YA WATU (UNFPA) TANZANIA YAENDESHA WARSHA KATIKA HOTEL YA GOLD CREST JIJINI MWANZA KWA AJILI KUHAMASISHA NA KUJENGA UWEZO WA KUJUMUISHA MASUALA YA VIJANA KATIKA MIPANGO YA MAENDELEO YA MKOA NA WILAYA

Washiriki wa warsha kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita ambao ni Makatibu Tawala Wasaidizi (Mipango na Uratibu), Maafisa Watakwimu (RS), Maafisa Mipango wa Wilaya, Maafisa Elimu ya Msingi wa Wilaya na Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya wakimsiliza kwa makini mwezeshaji.
Na: Thomas Nyindo
       Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango
Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) Tanzania, wameandaa warsha ya kuhamasisha na kujenga uwezo kwa watumishi wa Mkoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuhusu kujumuisha masuala ya vijana katika mipango ya Mkoa na wilaya.
Warsha hiyo inafanyika katika vituo vya Mwanza na Musoma. Katika kituo cha Mwanza warsha inafanyika tarehe 8 na 9 Juni 2015, kituo ambacho kinajumuisha Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri za mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita.
Washiriki wa warsha hii ni Makatibu Tawala Wasaidizi (Mipango na Uratibu), Maafisa Watakwimu (RS), Maafisa Mipango wa Wilaya, Maafisa Elimu ya Msingi wa Wilaya na Maafisa Maendeleo ya Jamii wa Wilaya.

Friday, May 29, 2015

CAREER OPPORTUNITIES - TPDC.

MAURITIUS SCHOLARSHIPS FOR TANZANIANS 2015.

The Government of Mauritius is offering scholarships for undergraduate studies in Public Tertiary Education Institutions in Mauritius deservingTanzanian students in 2015.
GUIDELINES FOR APPLICANTS
1. Financial Conditions of the Scholarship 
1.1 The Scholarship will cover:
 (i) A monthly living allowance,
 (ii) Tuition fees, and
(iii) Student airfare (economy class) by the most economical route to and from Mauritius at the start and the end of the studies. 
1.2 The duration of the scholarship will be for a maximum of four (4) years depending on the course. 
2. Eligibility
2.1 Be resident citizens of Tanzania
2.2 Scholarships shall not be awarded for:
 (i) Top-up degree programmes;
 (ii) Foundation programmes; and
 (iii) Mixed modes (distance and on-campus learning) 
2.3Age Limit:
 Candidates should not be below 18 years and not more than 25 years of age at the date of application. 
3.0. Procedure for submitting applications
 3.1 The Procedure for submitting applications is as detailed below: 
3.2 ALL candidates must submit the fully completed application forms and certified copies of the following documents as part of their application by 10th June 2015: 
(i) Birth certificate 
(ii) O-Level and A-Level Secondary Education Certificates or Equivalent Diploma Certificate with B+ grade , (iii)transcripts of secondary school results/Diploma,
 (iv) Mark sheets relating to the qualifications, 
(v) Medical certificate mentioning that applicant is free from any contagious disease eg.HIV/AIDS
(vi) Letter of conditional offer by a public tertiary education institution in Mauritius (if available at time of submission).
NB

CALL TO APPEAR FOR INTERVIEW - SUA.

Thursday, May 28, 2015

JOB VACANCIES ADVERTISEMENT- TBS.

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO WA TAREHE 25-05-2015

 Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili wa mahojiano wanatakiwa kufika muda, tarehe, na mahali kama inavyo onesha kwenye tangazo la ratiba ya usaili.
Wasailiwa wanakumbushwa pia kufika na vyeti vyao halisi (Original Certificates)

KADA: LAND OFFICER II (AFISA ARDHI II)           
MWAJIRI: MDAs           
           
NA  EXAM NUMBER           SCORE   REMARKS
1    MDAS-PSRS-LAND-621    65    SELECTED
2    MDAS-PSRS-LAND-104    63    SELECTED
3    MDAS-PSRS-LAND-106    63    SELECTED
4    MDAS-PSRS-LAND-276    63    SELECTED
5    MDAS-PSRS-LAND-005    62    SELECTED
6    MDAS-PSRS-LAND-022    62    SELECTED
7    MDAS-PSRS-LAND-259    62    SELECTED
8    MDAS-PSRS-LAND-264    62    SELECTED
9    MDAS-PSRS-LAND-039    62    SELECTED
10    MDAS-PSRS-LAND-135    61    SELECTED
11    MDAS-PSRS-LAND-096    60    SELECTED
12    MDAS-PSRS-LAND-317    60    SELECTED
13    MDAS-PSRS-LAND-463    60    SELECTED

Wednesday, May 27, 2015

JOB VACANCIES ADVERT - IHI.

JOB VACANCIES ADVERTISEMENT - HURBERT KAIRUKI UNIVERSITY.


Ukweli juu ya Umri wa Sitti Mtemvu bado mzigo mzito kwake.

Mtangazaji wa kipindi cha NIRVANA akiwa na mrembo Sitti Mtemvu.

Miss Tanzania ambaye alilivua taji mwaka jana 2014, Sitti Abas Mtemvu amekiri wazi kuwa maisha yake hayakuwa na amani tena toka skendo yake ya kudanganya umri katika mashindano ya Miss Tanzania, ambapo yeye aliweza kuibuka mshindi na kuvishwa taji hilo, Jana kupitia katika kipindi cha Fashion cha NIRVANA cha EATV,

Certificate and Diploma students selected to join SAUT main campus mwanza for the 2015/2016 academic year.


SCHOLARSHIPS ADVERTISEMENT - CUHAS.

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - TPDC.

Thursday, May 21, 2015

KINYEREZI I KUKAMILIKA MWAKA HUU.

Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Simon Jilima  (kulia)  akitoa maelezo kuhusu hali ya maendeleo ya mradi kwa wanajopo la ukaguzi kutoka Ofisi ya Raisi Tume ya Mipango, pichani ni  Bibi. Florence Mwanri (Katikati), Ndg, Robert  Masatu na  Ndg. Aloce Shayo, kwa mfuatano.

Na Oyuke Phostine Filemon 
Kituo cha kuchakata na kuzalisha umeme kwa njia ya gesi cha Kinyezi I kimekamilika kwa asilimia 88 na kinatarajiwa kuzalisha umeme kuanzia Septemba mwaka huu.

Hayo yalisemwa na Meneja Mradi wa Kinyerezi I kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Mhandisi Simon Jilima akiwatembeza katika kituo hicho wanajopo la ukaguzi wa miradi kutoka Ofisi ya Raisi Tume ya Mipango walipotembelea mradi huo.   

“Kazi zinazoendelea kwa sasa ni ufungaji wa mifumo katika mitambo; na njia za kusafirisha umeme msongo wa kV 220 kutoka Kinyerezi hadi Kimara na kV 132 Kinyerezi hadi eneo la viwanda la Gongolamboto, alisema Mhandisi Jilima.

Monday, May 18, 2015

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES TANESCO (INTERNAL & EXTERNAL ADVERTISEMENT)

Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanians. Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient, customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company is investing heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites applicants who are self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to fill the under-mentioned posts in the Finance Business Units at Head Office.
Specific attributes for the Positions to be filled:
  1. Must possess excellent business knowledge and leadership skills.
  2. Must be Self-motivated.
  3. Excellent communication skills.
  4. Must be creative, innovative and team working at all time.
  5. Possess excellent interpersonal skills.
  6. Demonstrate highest degree of integrity.
  1. MANAGER INVENTORY & TRANSPORT (1 POST) – JOB01 
  2. Reports To: Senior Manager - General Accounts
Reporting Office: Head Office – Dar Es Salaam.
POSITION OBJECTIVE:
To ensure efficient and effective management of inventory system and Company fleet is well maintained across the Company.
PRINCIPAL ACCOUNTABILITIES:

JOB VACANCIES - JUCO

TAA yashauriwa kuimarisha kiushindani Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere JNIA.

Mshauri Mkaazi wa ujenzi wa jengo la kufikia abiria  katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere akimwonyesha Naibu Katibu Mtendaji- Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Bibi. Florance Mwanri (Kulia) maendeleo mradi huo.
Habari na Oyuke Phostine Filemon 

Uongozi wa Mamlaka za Viwanja vya Ndege Tanzania wameshauriwa kuwa makini katika ujenzi unaoendelea wa jengo la kutua na kupaa ndege katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyere (JNIA).

Ujenzi huo unaotarajiwa kuongeza uwezo wa uwanja wa mara tatu zaidi umejikita katika sehemu za maegesho ya magari, sehemu ya abiria kupumzika, sehemu za abiria kupandia na kushuka kwenye ndege, ofisi za uhamiaji na huduma zingine muhimu.

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - UTUMISHI.

Thursday, May 14, 2015

JOB VACANCIES ADVERT - IHI.

Employment Opportunities - Statoil.

JOB VACANCIES - TANAPA

Click here (Bofya hapa)

TUME YA MIPANGO YATEMBELEA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Pichani meli ikipakua shehena ya mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam.
Meneja wa Mipango na Mikakati wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, Bw. Ntandu Mathayo (Kulia) akiukaribisha ugeni kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango walipokwenda kujionea maendeleo ya miradi ya kimkakati inayotekelezwa katika Bandari ya Dar es Salaam. Kushoto ni Kiongozi wa Msafara huo, Bibi Florence Mwanri. Wengine pichani ni Bw. Aloyce Andrea (Wapili Kushoto), Bw. Robert Senya (Katikati) na Bw. Abel Shirima.  

Wednesday, April 29, 2015

Internship Opportunities in China

CONFUCIUS INSTITUTE AT THE UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM 
INTERNSHIP OPPORTUNITIES AT GOLDEN LAND GROUPS (GLG) NANJING, JIANGSU, CHINA~ 2015
Introduction
The Confucius Institute at the University of Dar es Salaam is delighted to announce the Internship opportunities at Golden Land Group (GLG) located in Nanjing, Jiangsu Province,in the People’s Republic of China.
GLG aims to train talented students/graduateswith an international scope, hoping to recruit the best performers in the company in the future. This is in line with GLG’s goal to strengthen the relationship between China and Tanzania and leverage the cultural and academic exchanges between the two nations, through implementation of the “one belt one road” strategy.
Every year GLG will recruit more than 20 Tanzanian students in theirfinal year to join a six-monthinternship in China.
Internship Package
GLG will provide all of the items with full-fledged trainings including the following:
  •  General education (GE): introducing China and Nanjing City, Company profile, Industrial  orientation, Corporate culture, Policy, and organizationstructure and goals;
  •  Professional Education (PE): on-job training and job rotation;
  •  Basic knowledge of Chinese language.
Qualifications for Applicants
  •  Tanzanian students in the final year of study at the University of Dar es Salaam (UDSM), Dar es Salaam

ARU-DAAD SCHOLARSHIPS ADVERT.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...