Wednesday, May 7, 2014

JOB VACANCY - EWURA.

BEI KIKOMO ZA MAFUTA - KUANZIA LEO TAR. 07.05.2014.

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO WA LEO TAREHE 7 MEI 2014.

Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili wanatakiwa kufika kwa ajili ya usaili wa mahojiano wakiwa na vyeti halisi (Original Certificates)
  1. ASSISTANT RESEARCH OFFICER 
MWAJIRI: TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANIZATION (TIRDO)
TAREHE YA USAILI WA MAHOJIANO: 08/5/2014, SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
MAHALI: TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANIZATION (TIRDO).
EXAMS NUMBER SCORE REMARK
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-020 64.5 SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-011 63.5 SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-002 61 SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-010 56 SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-025 50.5 SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-012 42.5 NOT SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-019 34 NOT SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-003 26 NOT SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-000 25.5 NOT SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-007 21.5 NOT SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-016 21 NOT SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-023 19 NOT SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-015 18 NOT SELECTED
PSRS-ASS RESEACH-TIRDO-017 16 NOT SELECTED

CALL FOR INTERVIEW - MUCCoBS.

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO WA TAREHE 6 MEI 2014.

Wasailiwa waliochaguliwa kuendelea na usaili wanatakiwa kufika kwa ajili ya usaili wa ana kwa ana wakiwa na vyeti halisi (Original Certificates)

1. TECHNICIAN II MECHANICAL
MWAJIRI: TEMESA
TAREHE: 7/5/2014, SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
MAHALI: TANZANIA ELECTRICAL MECHANICAL AND ELECTRONICS SERVICES AGENCY (TEMESA).

NA    EXAMS NUMBER           SCORE    REMARK
1    PSRS TEC II MECH 0010     69    SELECTED 
2    PSRS TEC II MECH 0012     60    SELECTED 
3    PSRS TEC II MECH 0014     57    SELECTED 
4    PSRS TEC II MECH 0025     55    SELECTED 
5    PSRS TEC II MECH 0013     53    SELECTED 
6    PSRS TEC II MECH 0023     53    SELECTED 
7    PSRS TEC II MECH 0019     52    SELECTED 
8    PSRS TEC II MECH 0022     50    SELECTED 
9    PSRS TEC II MECH 0015     46    NOT SELECTED
10    PSRS TEC II MECH 0016   44    NOT SELECTED
11    PSRS TEC II MECH 0021   41    NOT SELECTED


Tuesday, May 6, 2014

VARIOUS JOB VACANCIES IN TANZANIA.

SENIOR PROCUREMENT AND LOGISTICS OFFICER
Qualifications: Holder of Bachelor degree/Advanced Diploma in Materials Management,Suplies ,Procurement or its equivalent from a recognized institution
Apply: Director General Sugar Board Tanzania
Box 4355, Dar es Salaam
Details: Mwananchi,02 May,2014
Deadline:31 May, 2014

LOANS OFFICER
Qualifications: Holder of university degree in Financial Management or Accountancy,Candidate who served as Ministers for loans might have an added advantage
Apply: Vice Chancellor,Catholic University of Health and Allied Science (CUHAS)
Box 1464, Mwanza
Details: Mwananchi,02 May,2014
Deadline:16 May, 2014

ASSISTANT INTERNAL AUDITOR
Qualifications: Holder of a First degree in B.Com Accountancy ,BBA (Accounting or Finance),Advance Diploma in Accountancy (ADA)and any relevant field .Holding Mastar’s degree in a related field will be an added advantage
Apply: Vice Chancellor,Catholic University of Health and Allied Science (CUHAS)
Box 1464, Mwanza
Details: Mwananchi,02 May,2014
Deadline:16 May, 2014

CUF WASEMA WASIOTAKA SERIKALI YA UMOJA WAFUKUZWE.


Chama cha Wananchi (CUF) kimesema wanasiasa wanaojadili suala la kuendelea au kutokuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), wanastahili kujiuzulu au kufukuzwa ndani ya vyama vyao.
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya Mnadhimu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), Salmin Awadh Salmin kusema kuwa Wawakilishi wa CCM wanajiandaa kuwasilisha hoja binafsi kwenye Baraza hilo ili kuwapa nafasi wananchi waulizwe iwapo wanataka kuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa au vinginevyo.
Salmin aliyasema hayo juzi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Viwanja vya Kibandamaiti, Unguja kwa kuwa wanaona kwamba lengo la kuundwa kwake halina dalili njema kwa siku za usoni.

JOB VACANCY - DELOITTE

CLICK HERE

Monday, May 5, 2014

Watu wenye ulemavu wa ngozi waitaka serikali kuwachulia hatua kali watuhumiwa wa mauaji na ukataji viungo.


Watu wenye ulemavu wa ngozi wameitaka serikali kuhakikisha inawachulia hatua kali za kisheria watuhumiwa wanaobainika kuhusika na mauaji na ukataji viungo vya albino ili kukomesha vitendo hivyo huku wakitaka huduma za afya zitolewe bure kwao ili kupunguza idadi kubwa ya vifo vinavyotokana na saratani ya ngozi.
Hayo yamo katika risala yao waliyoisoma wakati wa kilele cha maadhimisho ya tisa ya siku ya albino duniani yaliyofanyika jijini dar es salaam ambapo wamesema mbali na tatizo la mauaji na ukatwaji wa viungo vya albino bado wanakabiliwa na changamoto ya saratani ya ngozi ambapo asilimia 80 ya albino hufia majumbani kwa kukosa huduma ya matibabu
Katika hotuba ya rais Jakaya Kikwete iliyosomwa kwa niaba yake na waziri wa afya na ustawi wa jamii Dk Seif Rashid amesema serikali itaendelea kusimamia sera kikamilifu ambapo kwa sasa inafanya utaratibu wa kusambaza mafuta maalum kwa ajili ya albino katika vituo vya afya nchi nzima ambayo yatatolewa bure na kuongeza kuwa waraka wa kutoa huduma za afya bure kwa walemavu wa ngozi umeshasambazwa ngazi husika huku akieleza kuwa changamoto kubwa ni tatizo la imani za kishirikina ambalo linahitaji mapambano ya watu wote
Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na viongozi na wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wakiwemo mabalozi wanaoziwakisha nchi zao hapa nchini ambapo pia mmoja wa albino aliyenusurika kifo baada ya kukatwa mikono yake yote amepata fursa ya kutoa ushuhuda huku akiiomba serikali kuchukuwa hatua za makusudi juu ya watuhumiwa hao ambapo amedai kuwa aliyemfanyia kitendo hicho kwa sasa yuko huru wakati yeye anaishi kwenye kambi kama mkimbizi

Chanzo: ITV

MKE WA RAIS NIGERIA ATOA AMRI YA KUKAMATWA KWA KIONGOZI WA MAANDAMANO.

Mke wa Rais wa Nigeria Patience Jonathan
Mwanaharakati mwanamke aliyekuwa akiongoza maandamano nchini Nigeria kushinikiza serikali ya nchi hiyo kuwaokoa wasichana 200 waliotekwa hivi karibuni ametiwa mbaroni na polisi kwa amri ya mke wa Rais wa nchi hiyo.
Naomi Mutah Nyadar alikuwa miongoni wanawake waliohudhuria mkutano ulioitishwa na ma mke wa rais Patience Jonathan na baadae mwanaharakati huyo alipelekwa kituo cha polisi habari zinasema.

Mke wa Rais wa Nigeria Patience Jonathan
Inasemekana Mke wa Rais Jonathan anahisi mama za wasichana waliotekwa walimtuma mwanaharakati huyo ili aweze kuwawakilisha.
Mchambuzi wa masuala ya Nigeria anasema Mke wa Rais Jonathan ni Mwanasiasa mwenye nguvu nchini Nigeria.
Mama Mutah mwakilishi wa jamii ya Chibok eneo wasichana hao walipotekwa wakiwa shuleni zaidi wiki mbili zilizopita, wiki iliyopita aliandaa maandamano katika mji mkuu wa Abuja.
Waandamanaji wengi wakiwa ni Wanaigeria wanaona serikali haijafanya vya kutosha kuwatafuta wasichana hao waliotekwa wanaodhaniwa kuwa ni kundi la kiislam la Boko Haram.

Hadi sasa Boko haram hawajasema lolote kuhusu tuhuma hizo.
Wasichana wanne walio mbele ambao ni miongoni mwa waliotekwa na kufanikiwa kutoroka.


Chanzo: BBC

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...