Wednesday, March 19, 2014

MGOMO WA DALADALA WAZUA TAFRAN MOROGORO ASUBUHI YA LEO.

Watu wakiwa wamejaa barabara ya Kihonda - Mjini.
Hali ya usafiri kwa abiria wa Manispaa ya Morogoro wamekuwa katika wakati mgumu asubuhi ya leo baada ya Daladala kugoma kutoa huduma ya usafirishaji kutokana na sababu ambazo hazikufahamika mara moja. Lakini kutokana na maneno yaliyokuwa yanatolewa na baadhi ya watu waliokuwa kwenye daladala zilizokuwa zikipita zikiwa hazina abiria, wamesema kuwa wamechoshwa na kubambikiziwa makosa na maaskari wa usalama barabarani.
Abiria wakiwa kwenye pick up ambazo zilikuwa zinasafirisha kwa Tsh.500/= 

Tuesday, March 18, 2014

WIKI YA MAJI YAFANA MOROGORO.

Mgeni Rasmi Mstahiki Meya wa Manispaa ya Morogoro Mh.Amir Nondo 
Kila mwaka Wizara ya maji huadhimisha wiki ya maji nchini kote kuanzia tarehe 16-22, Machi. Katika kipindi hiki cha maadhimisho haya Mamlaka za maji nchini hufanya kazi mbali mbali ikiwa ni pamoja na kufanya mikutano na wadau wa maji,kusafisha mazingira, kuhamasisha wananchi katika kulinda na kutunza vyanzo vya maji, maadhimisho haya pia hulenga katika kuwaelimisha wananchi kuhusu sera ya taifa ya maji na mikakati yake ya utekelezaji.
Mkurugenzi mtendaji wa MORUWASA akimueleza Mh.Meya jinsi ya mto Mlali ulivyovamiwa na kuendelea kulima mdani ya mto.

Wednesday, March 12, 2014

INTERNATIONAL CONFERENCE ON CONTRACT FARMING IN AFRICA.

JOB VACANCY - UDSM.

JOB VACANCY - SUA.

The Management of Sokoine University of Agriculture (SUA) invites qualified Tanzanians to apply for positions for Tutorial Assistants (TA’s) (<35 yrs of age) and Assistant Lecturers (<45 years).

Applicants are advised to note that the minimum GPA of 3.8 or an average of B for unclassified degrees such as that of Veterinary and Medical graduates at undergraduate level applies for TA’s and 3.5 at BSc/BA level or equivalent (i.e. an average of B for Veterinary and Medical graduates) and a good Masters degree is applicable for those with postgraduate qualifications. Only registered Veterinarians will be considered for interviews.
The application should state the Department, Position and Discipline one is vying for. Applicants are advised to note that salary packages and fringe benefits shall be as per Treasury Registrar’s Salaries Circular No. 3 of 2013.

The deadline for submission of application letters indicating names and addresses of two referees, together with certified copies of certificates and transcripts, curriculum vitae shall be two weeks after the first advertisement. Only short listed applicants will be contacted for interview. Those who had applied for similar posts in the past are encouraged to apply.
Application letters to be sent to the undersigned.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...