Wednesday, August 14, 2013

CCM YAWASIMAMISHA UONGOZI NA KUWAFUKUZA MADIWANI WAKE WANANE BUKOBA.


Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuwatolea uvivu kwa kuwavua uanachama na uongozi madiwani wake wanane katika Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera.

Imeelezwa kwamba hatua hiyo imechukuliwa na Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Kagera kutokana na kudaiwa kupuuza maelekezo yaliyotolewa na Mwenyekiti wa CCM, Taifa, Rais Jakaya Kikwete.

Taarifa iliyotolewa na  Katibu wa CCM wa mkoa huo Avelin Mushi, imesema kuwa uamuzi huo umekuja kutokana na chama kujali maslahi ya wananchi tofauti ya watu binafsi.

Mushi amewataja madiwani hao nane kuwa  Yusuph Ngaiza (Kata Kashai) ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wilaya Bukoba, Samwel Ruangisa (Kitendagulo) ambaye ni Meya mstaafu na Mkuu wa mkoa wa mkoa wa kwanza wa mkoa wa Kagera, Murungi Kichwabuta (Viti maalumu) Deusdedith Mutakyawa (Nyanga) Richard Gaspal (Miembeni)Alexander Ngalinda (Buhembe) ambaye pia alikuwa Naibu Meya Dauda Kalumuna (Ijuganyondo) na Robert Katunzi wa kata Hamugembe.

Mushi amesema kuwa  kufukuzwa kwa madiwani hao ni kutokana na mgogoro ulidumu kwa muda mrefu juu ya mbunge na meya ambapo Rais Kikwete akiwa ziarani Kagera alitoa agizo la wanachama hao kutoendelea na mgogoro huo.

Pia, amesema kuwa vikao vya chama vimekuwa vikiendelea kwa kufuata kanuni na taratibu kwa kuwaonya juu ya kuhujumu serikali ya CCM kwa kushirikiana na madiwani kambi ya upinzani kutotekeleza maendeleo ya wananchi lakini wahusika wote wamekuwa wakikahidi maagizo ya kuitwa kwenye vikao.
Manispaa ya Bukoba ina kata 14 na kati ya hizo kata 4 zinaongozwa na CHADEMA(2) na CUF(2) hivyo kwa Bukoba mjini CCM imebakiza madiwani 3 TU wa kuchaguliwa .kama ifuatavyo
1.Kashai-Amefukuzwa
2. Miembeni-Amefukuzwa
3.Miembe-Amefukuzwa
4.Nyanga-Amefukuzwa
5.Hamugembe-Amefukuzwa
6.Kitendaguro-Amefukuzwa
7.Ijuganyondo-Amefukuzwa
8.(1)Kagondo-Amebaki (CCM) (Meya Amani)
9.(2)Nshambya-Amebaki(CCM)
10.(3)Kahororo-Amebaki(CCM)
11.Bilele-Amebaki(CUF)
12.Kibeta-Amebaki(CHADEMA)
13.Bakoba-Amebaki(CUF)
14.Rwamishenye-Amebaki(CHADEMA)

International Scholarships For Undergraduate and Postgraduate at University of Sydney, Australia 2014.

University of Sydney is offering Sydney Achievers International Scholarships for new international students commencing at the University in 2014. The scholarships are available for pursuing undergraduate and postgraduate degree level at the University of Sydney. Up to 100 prestigious scholarships will be offered for any undergraduate and postgraduate programmes offered at the University of Sydney (subject to the recipient maintaining satisfactory academic progress each year). Applications should be submitted till 15 January 2014 for Semester 1, 2014, and 30 June 2014 for Semester 2, 2014.
Study Subject(s): Scholarships are provided for any courses offered by the University of Sydney in Australia.
Course Level: The scholarships are available for pursuing undergraduate and postgraduate degree level at the University of Sydney in Australia.
Scholarship Provider: University of Sydney in Australia.
Scholarship can be taken at: Australia.
Eligibility:
For undergraduate: Applicants must have completed an Australian Year 12 qualification or an international senior secondary qualification accepted by the University with outstanding results, as deemed by the University of Sydney.
-Students completing Foundation Studies Programs offered by Australian or New Zealand universities are eligible.
-Students who have already commenced/completed tertiary studies, or students transferring with credit exemptions and/or advanced standing, are not eligible.
For postgraduate: Applicants must have completed the equivalent of an Australian Bachelor degree qualification with outstanding results based on the Australian grading system, as deemed by the University of Sydney.
-Students who have already commenced/completed postgraduate studies, or students transferring with credit exemptions and/or advanced standing, are not eligible.

CHADEMA WAHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI KUJADILI NA KUTUMA MAONI YA RASIMU, MABARAZA YA CHADEMA KATIBA MPYA

CHADEMA jana kimeanza rasmi kuendesha mabaraza ya Katiba na taarifa hii ndiyo iliyotolewa:-
 
"Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo kinaanza rasmi kuendesha Mabaraza ya Katiba, ambapo wananchi wote watashirikishwa kujadili na kutoa maoni yao juu ya Rasimu ya Katiba Mpya, kwa njia mbalimbali kama ifuatavyo;

1. Mikutano ya hadhara, itakayoanza leo katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiongozwa na 
    timu mbili za viongozi wakuu, Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dkt. 
    Willibroad Slaa. 
    
    Mikutano hiyo itafanyika nchi nzima. Ratiba ya mikutano yote, itatolewa kwa umma, 
    kupitia vyombo vya habari (mainstream & social media).

2. Kutuma ujumbe mfupi kwa simu. Mwananchi anaweza kutuma maoni yake ya Katiba 
    Mpya kupitia simu ya mkononi, kwenye NAMBA HII YA SIMU; 0789 24 82 24.


4. Mitandao ya kijamii, mf; Jamii Forums, facebooks, twitter, group emails, k.m mabadiliko, 
    wanabidii n.k, utaratibu wake utatolewa kwa umma, kupitia vyombo vya habari, ikiwa ni 
     pamoja na kuwekwa hapa, namna ambavyo Watanzania wote watashiriki kutoa maoni 
     yao kwa njia hii.




Tumaini Makene
CHADEMA Senior Information(Press) Officer
0752 691569/ 0688 595831"
 
Source:CHADEMA Social Media.

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO TAREHE 12 AGOSTI 2013 - UTUMISHI.

MATOKEO YA USAILI ULIOFANYIKA TAREHE 12 AGOSTI 2013 CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE, KIGAMBONI

USAILI WA ANA KWA ANA UTAFANYIKA SAA MOJA KAMILI OFISI ZA SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA, MAKTABA COMPLEX, GHOROFA YA PILI, BR. YA BIBI TITI MOHAMMED, DAR ES SALAAM

Wasailiwa wanatakiwa kufika na vyeti halisi (ORIGINAL CERTIFICATES)

1. AFISA MTENDAJI WA MTAA III

EXAM NUMBER                      SCORE    REMARK
PSRS MTAA III DSM-0144        73    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 14TH AUGUST 2013
PSRS MTAA III DSM-0123        70    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 14TH AUGUST 2013
PSRS MTAA III DSM-0136        63    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 14TH AUGUST 2013
PSRS MTAA III DSM-0116        62    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 14TH AUGUST 2013
PSRS MTAA III DSM-0129        61    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 14TH AUGUST 2013
PSRS MTAA III DSM-0128        60    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 14TH AUGUST 2013
PSRS MTAA III DSM-0115        59    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 14TH AUGUST 2013
PSRS MTAA III DSM-0137        59    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 14TH AUGUST 2013
PSRS MTAA III DSM-0117        51    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 14TH AUGUST 2013
PSRS MTAA III DSM-0126        50    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 14TH AUGUST 2013
PSRS MTAA III DSM-0118        45    NOT SELECTED
PSRS MTAA III DSM-0127        39    NOT SELECTED
PSRS MTAA III DSM-0142        39    NOT SELECTED


2. AFISA LISHE II

EXAM NUMBER                 SCORES    REMARKS

PSRS NUTRI OFF II- 021        84    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 023        77    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 014        75    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 020        73    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 040        73    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 046        73    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 022        72    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 051        72    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 036        71    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 044        71    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 027        70    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 041        69    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 006        68    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 001        67    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 011        64    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 015        62    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 037        60    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 010        59    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 003        57    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 043        55    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 002        55    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 004        54    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 049        53    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 008        52    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 013        52    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 000        51    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 033        50    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 042        50    SELECTED FOR ORAL INTERVIEW ON 15TH AUGUST 2013
PSRS NUTRI OFF II- 005        49    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 030        49    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 052        49    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 029        48    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 050        46    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 025        41    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 038        38    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 018        34    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 024        34    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 026        34    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 016        30    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 012        27    NOT SELECTED
PSRS NUTRI OFF II- 032        26    NOT SELECTED

Tuesday, August 13, 2013

KINANA AKUTANA NA BALOZI WA CANADA NA MKURUGENZI WA TAASISI YA NDI YA MAREKANI

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Balozi wa Canada hapa nchini, Alexandre Leveque, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, jana, Agosti 12, 2013. Balozi huyo alipomtembelea na kuwa na mazungumzo naye. Kushoto ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimwelewesha jambo Balozi wa Canada hapa nchini, Alexandre Leveque, alipomkaribisha Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, jana, Agosti 12, 2013. Balozi huyo alipomtembelea na kuwa na mazungumzo naye. Kushoto ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Canada hapa nchini, Alexandre Leveque, alipomkaribisha Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, jana, Agosti 12, 2013.  Kushoto ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro.

Victoria Master’s [By Thesis] Scholarships for International Students in New Zealand, 2014.


Victoria University of Wellington is offering Master’s [by thesis] scholarships for international students. Thirty scholarships are offered, consisting of a $15,000 stipend, plus domestic fees. Scholarships are available for international students to pursue research at masters level at Victoria university. Only those students enrolled solely for a 90 point thesis are eligible to apply. Application deadline is November 1, 2013.
Study Subject(s): Scholarships are offered for studying any one of the courses offered by the Victoria University of Wellington.
Course Level: Scholarships are available for pursuing  research at Masters level at Victoria University of Wellington, New Zealand
Scholarship Provider: Victoria University of Wellington, New Zealand
Scholarship can be taken at: New Zealand
Eligibility:
To encourage research at Masters level at Victoria university. Only those students enrolled solely for a 90 point thesis are eligible to apply. In some cases this will be Part 2 of a two-year Master’s degree and will usually have the course code 591. Students who are enrolled in Master’s degree programmes that have thesis or research components of less than 90 points, or who elect not to enrol for the solely by thesis option, but instead enrol in taught courses, internships, performance, portfolio, practicum, or other programme options, are eligible to apply for the Victoria Graduate Scholarships. Creative Writing candidates are eligible to apply for the Master’s [by thesis] Scholarship.

Monday, August 12, 2013

Scholarships for US and International Students at Boston University in USA.

Boston University offers Trustee Scholarships for US and International Students for pursuing undergraduate degree level in the USA. Every year, Boston University welcomes about 20 outstanding students to the Trustee Scholars Program. Many of our current Scholars had perfect 4.0 grade point average in high school, and typically ranked in the top 5–10% of their class. Students are nominated by secondary school principals and headmasters. A Trustee Scholarship covers full undergraduate tuition plus the University orientation and mandatory undergraduate student fees and is renewable for four years if certain criteria are met. The application deadline is December 1, 2013.
Study Subject(s): Scholarships are provided to learn any of the courses offered by the Boston University in USA.
Course Level: Scholarships are available for pursuing undergraduate degree level at Boston University in USA.
Scholarship Provider: Boston University, USA
Scholarship can be taken at: USA
Eligibility: -Every year, Boston University welcomes about 20 outstanding students to the Trustee Scholars Program. Many of our current Scholars had perfect 4.0 grade point average in high school, and typically ranked in the top 5–10% of their class.
-In addition to exceptional academic credentials, Trustee Scholars are intellectually and creatively adventurous and demonstrate viewpoints, experiences or achievements beyond the usual. They are, in other words, not just top students, but extraordinary people.  At BU, scholars also become part of a unique campus community that offers many intellectual, cultural, and social opportunities.

Dk. Slaa kuunguruma Tanga Alhamisi.

 

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, Alhamisi wiki hii anatarajiwa kuwasili mkoani Tanga kuzindua mabaraza ya Katiba ya chama hicho pamoja na kuhutubia mikutano ya hadhara.
Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Tanga, Jonathan Bahweje, ilieleza alisema Dk. Slaa atawasili mkoani hapa Agosti 15 na kufanya mikutano ya hadhara na siku inayofuata atakuwa na kazi ya kukusanya maoni ya wananchi kuhusu Katiba mpya.
Akizungumza na waandishi wa habari, Bahweje alisema Dk. Slaa akitumia helikopta atafanya mikutano ya hadhara katika wilaya za Lushoto, Handeni, Korogwe, Muheza na Tanga Jiji.
“Katibu mkuu atawasili Lushoto na kufanya mkutano wa hadhara uwanja wa RRM saa mbili asubuhi, Handeni mjini saa 5.30 asubuhi, Korogwe Mazoezi saa 7.30 nchana, Muheza saa 9.30 uwanja wa CHADEMA Square na mkutano wa mwisho Tanga Jiji saa 11. 40 jioni,” alisema Bahweje.
Katibu huyo alitoa wito kwa wananchi kuhudhuria mikutano hiyo katika maeneo hayo na kumsikiliza ili kupata misingi halisi ya mikutano hiyo.
Sambamba na hayo, alieleza chama hicho ngazi ya mkoa kinaendelea na mikutano ya hadhara na ya ndani kwa kuanzia wilaya ya Korogwe kwa lengo la kuelezea mkakati wa CHADEMA.
Alisema mikutano hiyo inafanyika katika vijiji vya Masange, Mngwasa na Lutindi vya kata ya Lutindi na kuendelea katika kata ya Bungu, jimbo la Korogwe vijijini.
Source:CHADEMA Social Media.

Wednesday, August 7, 2013

SHEREHE ZA KILELE CHA SIKU YA WAKULIMA NANE NANE YAFANA KANDA YA MASHARIKI, DR.KIGODA MGENI RASMI.

Mgeni rasmi Waziri wa Viwanda na Biashara Dr.Abdallah Kigoda akiwa katika Ofisi za Taso kanda ya mashariki.

Dr.Kigoda akiwa anasaini kitabu katika banda la Agricultural Media

Mkurugenzi wa agricultural Media akiwa anatoa maelezo kwa Mgeni rasmi.


ADVERTISEMENT OF TENDERS NECTA AUGUST 2013

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...