Wednesday, February 5, 2014

Azam FC kucheza mechi za kimataifa Azam Complex Chamazi.


Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF leo tarehe 31 Januari 2014 limeupa kibali cha kuchezea mashindanoya kimataifa yanayoandaliwa na CAF uwanja wa Azam Complex Chamazi na kuufanya uwanja wa kwanzaunaomilikiwa na klabu Afrika Mashariki  kuruhusiwa kuandaa (ku-hostmashindano makubwa ya vilabu

Tuesday, January 28, 2014

DR. REGINARLD MENGI AKUTANA NA KATIBU MKUU WA CCM KINANA

KATIBU Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dr.Reginarld Mengi (kushoto), Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, leo.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...