Wednesday, April 15, 2015
Tuesday, April 14, 2015
Al Shabaab waua watu 9 katika majengo ya wizara ya elimu mjini Mogadishu,Somalia.
Mwandishi wa BBC Ibrahim Aden,amesema kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo
kabla ya wavamizi kadhaa kuingia ndani ya jengo wakiwa wamejihami kwa bunduki za rashasha.
Monday, April 13, 2015
Friday, April 10, 2015
Thursday, April 9, 2015
TANZANIA YASHUKA NAFASI 7 KATIKA VIWANGO VYA SOKA VYA FIFA.
Tanzania yashuka nafasi 7 na kuwa ya 107 katika viwango vya soka vya FIFA vilivyotangazwa leo. Uganda yaongoza Afrika Mashariki yawa ya 72, Rwanda 74, Kenya 117 wakati Burundi ni ya 123.
Bofya hapa (Click here)
Bofya hapa (Click here)
Subscribe to:
Posts (Atom)