Tuesday, October 8, 2013

Matumaini ya Chanjo ya Malaria ni 2015.


Kampuni ya kutengeza madawa ya GlaxoSmithKline inataka kuruhusiwa kisheria kuidhinisha chanjo ya kwanza ya Malalaria ikisema kuwa imeweza kupunguza vifo vya Malaria miongoni mwa watoto barani Afrika.
Wataalamu wanasema kuwa wana matumaini kuhusu mafanikio ya chanjo hiyo ya kwanza ya Malaria duniani baada ya kufanyiwa majaribio.
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na Mbu na ambao huwaua maelfu ya watu duniani kila mwaka.
Wanasayansi wanasema kuwa chanjo inayofaa ndio njia ya pekee kumaliza ugonjwa wa Malaria.
Chanjo hiyo inayojulikana kama RTS,S iligunduliwa kuwa iliweza kupunguza idadi ya vifo vya Malaria miongoni mwa watoto wadogo wakati wa majiribio na pia iliweza kupunguza vifo miongoni mwa watoto wachanga kwa 25% .
Kampuni ya GlaxoSmithKline (GSK) inatengeza chanjo hiyo kwa usaidizi wa wakfu wa Bill na Melinda Gates.
Majaribio ya chanjo yenyewe yalifanyiwa barani Afrika ambako iliwahusisha watoto 15,500 kutoka nchi saba.
Matokeo yaliwasilishwa kwenye mkutano wa matibabu uliofanyika mjini Durban, Afrika Kusini.
Kampuni ya GlaxoSmithKline sasa inataka kisheria iweze kuruhusiwa kuanza kuuza chanjo hiyo ambayo imekuwa ikitengezwa kwa miongo mitatu.
Kwa mujibu wa kampuini hiyo, inataka shirika la afya duniani kuweza kuidhinisha matumizi ya RTS,S angalau kuanzia mwaka 2015 ikiwa wadhibiti wa madawa EMA wanaweza kuwapa leseni ya kuanza kuuza chanjo hiyo.
Kulingana na utafiti uliofanyiwa watoto waliopewa chanjo hiyo, ulionyesha kuwa miezi 18 baada ya kupewa chanjo watoto waliona miezi mitano hadi 17 waliweza kukingwa dhidi ya ugonjwa huo kwa 46% .Lakini watoto waliokuwa kati ya wiki 12 wakati huo waliweza kukingwa tu kwa asilimia 27.
Msemaji wa kampuni ya GSK, aliambia shirika la habari la AFP kuwa kampuni itawasilisha ombi lake chini ya mkakati wa kuziwezesha nchi maskini kuweza kupata dawa.

Chanzo: BBC

Aston Business School International Undergraduate Scholarships in UK, 2014.

The Aston Business School is offering several scholarships of £1,000 each for each academic year of undergraduate studies and £500 for the placement year. Scholarships are available to international students entering one of the full-time BSc programmes in 2013/14. The application deadline is 30th June 2014.
Study Subject (s): Scholarships are provided to learn any of the courses offered by the Aston University.
Course Level: Scholarships are available for pursuing undergraduate degree level at Aston University.
Scholarship Provider: Aston Business School
Scholarship can be taken at: UK
Eligibility: Scholarships are available to international students entering one of the full-time BSc programmes in 2013/14.
-Scholarships are available for pursuing undergraduate degree level at Aston University.

SELECTED STUDENTS FOR MOZAMBIQUE SCHOLARSHIPS 2014.

AFYA BORA FELLOWSHIP ADVERTISEMENT - 2013/2014.

ANOUNCEMENT- MASTERS OF PROJECT PLANNING & MANAGEMENT UDSM.

TASWIRA YA MKUTANO WA SIKU YA TATU YA ZITO KABWE -MPANDA.




ADMISSION JoKuCo 2013/2014.

MBA Scholarships for International Students at University of Gloucestershire in UK, 2014.

University of Gloucestershire offers scholarships for international students. Scholarships are open to all international fee paying students applying for a full-time MBA course starting in January 2014. Only students who hold an offer letter can be awarded a scholarship. Two scholarships are offered for one year. The scholarship will provide £2,000 each. Application deadline is 13th December 2013.
Study Subject (s): Scholarships are provided in the field of business administration offered by the University of Gloucestershire in UK.
Course Level: The scholarships are available for pursuing master’s degree level at University of Gloucestershire in UK.
Scholarship Provider: University of Gloucestershire, UK
Scholarship can be taken at: UK
Eligibility: Open to all international fee paying students applying for a full-time MBA course starting in January 2014.
-Only students who hold an offer letter can be awarded a scholarship.
-A student can apply for multiple awards but will only receive the one of highest value.
-Applicants must hold an offer of a place of study on a full-time undergraduate or postgraduate course at the University of Gloucestershire starting in 2014.
-All scholarship applicants/recipients must be overseas fee payers.
-Applicants must have no outstanding offer conditions attached to their place of study except for the tuition fee deposit and passport photocopy.
-Scholarship applicants must complete the scholarship application form.
-Certified copies/notarized copied of your highest qualification will be required to verify your results/qualifications.

Monday, October 7, 2013

BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU IMETANGAZA KUKUSANYA MAREJESHO YA MIKOPO KUPITIA M-PESA.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Ndg. Asangye Bangu . Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim na kulia ni Mkurugenzi wa Urejeshaji Mikopo wa Bodi Juma Chagonja
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HELSB) imetangaza kuanza kutumia huduma ya M-PESA kukusanya marejesho ya mikopo kwa wanufaika wa bodi hiyo.
 Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi hiyo Ndg.Asangye Bangu wakati akiongea na waandishi wa habari hii leo. 

DAAD Graduate School Scholarship Programs (GSSP) for International Students in Germany, 2014.

DAAD annually funds graduate school scholarship programs (GSSP) for foreign doctoral students in structured doctoral programs at German universities. Selected doctoral programs receive a commitment for a total of four DAAD PhD Scholarships (two in 2015 and two in 2016). Each DAAD PhD course is awarded up to three years but in the case of PhD students from developing and emerging countries, scholarships are awarded up to four-year. The selection of doctoral students in a two-stage process. In a first step, write the doctoral programs, the DAAD PhD in public places and nominate suitable candidates for a DAAD scholarship. Per DAAD scholarship two candidates may be nominated. The final selection of scholarship recipients is then in a second step by a selection committee appointed by the DAAD.
Study Subject (s): Scholarships are provided to learn any of the courses offered by the universities.
Course Level: Scholarships are offered for pursuing doctoral degree at German universities.
Scholarship Provider: DAAD (German Academic Exchange Service)
Scholarship can be taken at: Germany
Eligibility:
-the study must at the time of starting the scholarship with a diploma or Master, in exceptional cases, with the Bachelor (fast-track promotion) be completed. The time of application should be in the last degree; generally be no more than six years.
-The implementation of the funding commitments, the country-specific notes must be into account.
-Applicants who are already at the time of application longer than fifteen spend months in Germany, cannot be considered.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...