Friday, August 1, 2014

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - UTUMISHI AGOSTI, 01 2014.

MKURUGENZI WA IDARA YA HABARI (MAELEZO) ATEMBELEA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO

Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Bw. Assah Mwambene (Kulia) akibadilishana uzoefu na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bi. Joyce Mkinga (Kushoto) wakati alipotembelea na kukagua Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha  Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango.

Na Saidi Mkabakuli
Katika kutekeleza mkakati wa kutembelea na kukagua utendaji kazi wa vitengo vya mawasiliano serikalini, Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Bw. Assah Mwambene leo ametembelea Kitengo cha Mawasiliano Serikalini cha Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, pia kuzungumza na Mtendaji Mkuu wa Ofisi hiyo, Dkt. Philip Mpango.
Akiwa katika ziara hiyo, Bw. Mwambene ambaye ndiye Msimamizi Mkuu masuala ya Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Serikali amesema kuwa vitengo vya mawasiliano serikali vina jukumu kubwa ya kuuelimisha umma wa Watanzania juu ya masuala mbalimbali yanayojiri kwenye ofisi zao.

JOB VACANCIES - TANZANIA POSTAL BANK.

Monday, July 28, 2014

Ukrain kujibu mapigo

Wanajeshi wa Ukrain
Jeshi la Ukrain limeanza kujihami mashariki mwa nchi hiyo dhidi ya mashambulizi ya waasi wa Urusi kufuatia kutunguliwa kwa ndege ya Malaysia katika eneo hilo.
Msemaji wa serikali ya Ukrain Andriy Lysenko amesema jeshi la nchi hiyo lilidhamiria kulifunga eneo hilo ili kupisha uchunguzi wa watalaamu kuhusiana na chanzo cha kuanguka kwa ndege hiyo.
Ndege ya Malaysia iliyokuwa imebeba watu 300 iliangushwa katika eneo hilo lililo chini ya udhibiti wa waasi.
Waangalizi wa kimataifa wanasema mapigano hayo yataadhiri uchunguzi wa ajali hiyo ya ndege, mapigano makali yameripotiwa katika amaeneo yanayozunguka mji wa Horlivka na Shakhtarsk.

SOURCE : BBC

Kombora lalipua matenki ya mafuta - Libya

Vikosi vya zima moto vya Libya vinapambana kujaribu kuuzima moto baada ya kombora la roketi kulipua tanki la kuhifadhia mafuta wakati wa mapigano kati ya makundi mawili yanayohasimiana katika mji mkuu Tripoli. Tanki hilo ni miongoni mwa matanki yanayomilikiwa na Kampuni ya mafuta ya serikali ya Libya yenye lita milioni sita za mafuta.
Msemaji wa Kampuni hiyo Mohamed Al-Hariri amesema iwapo moto huo utasambaa kwenye matanki mengine ya karibu huenda ukasababisha madhara makubwa katika eneo lenye upana wa kilomita tano.
Serikali ya muda ya Libya imetaka ustishaji wa mapigano katika eneo hilo la maafa ili kuruhusu vikosi vya zima moto kufanya kazi yao bila kuingiliwa.
Source: BBC

Sunday, July 27, 2014

JOB VACANCIES - IFAKARA HEALTH INSTITUTE (IHI).

Ifakara Health Institute (IHI) is one of Africa's most eminent health research organizations. With a history of more than 50 years, IHI is an independent, non-profit organization, registered in Tanzania and led by Tanzanians. Our institute won the Asturias Award for International Cooperation (2008) and several other national and international awards. This non-governmental organization conducts a wide range of health-related research, including biomedical and environmental studies, trials of drugs, vaccines and diagnostics, health-systems research, and monitoring and evaluation.


Title  : Clinical Officer 


LocationBagamoyo

Project TB-PHARM

Summary 

The TB-PHARM is a study aiming at increasing case detection in Tanzania to improve the quality of life of TB patients by reducing morbidity and possible TB transmission in the community. The study intervenes at pharmacies and uses the pharmacies to refer presumptive TB patients to TB diagnostic and treatment centers of the National TB and Leprosy Program (NTLP).

Duties and responsibilities 

Saturday, July 26, 2014

JOB VACANCIES - SAUT.

The St. Augustine University of Tanzania (SAUT) is a private higher learning Institution Owned by Tanzania Episcopal Conference (TEC) with a vision of holistic development of a person and respect of human dignity.
SAUT is an equal opportunity employer and it intends to recruit competent academicians capable of imparting professional skills and inculcate civic and social values to students that will make them better citizens.
The applicants are required to fill the following vacant positions:-
1.0   Assistant Lecturers
  • Languages  and Linguistics (2 posts)
  • Human Resource Management (2 posts)
  • Public Relations and Advertising (1 post)
  • Accounting and Finance (2 posts)
  • Finance and Banking (1 post)
1.1 Entry qualification for Assistant Lecturer post

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...