Showing posts with label MICHEZO NA BURUDANI. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO NA BURUDANI. Show all posts

Tuesday, August 5, 2014

MANCHESTER UNITED YABEBA KIKOMBE CHA KWANZA, YAITANDIKA LIVERPOOL 3-1 MIAMI.


LOUIS van Gaal amefanikiwa kuchukua kombe la mashindano ya kimataifa ya Guinness nchini Marekani kufuatia Manchester United kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya mahasimu wao wakubwa, Liverpool katika mchezo wa fainali uliomalizika usiku wa jana mjini Miami.

Japokuwa kombe hilo sio kubwa kwasababu ni kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya, lakini ni heshima kwa Van Gaal na sasa itamuongezea imani kuelekea msimu mpya wa ligi kuu soka nchini England inayotarajia kuanza Agosti 16 mwaka huu.

Katika mchezo wa jana, Liverpool walikuwa wa kwanza kuandika bao la kuongoza katika dakika ya 14 kwa mkwaju wa penalti uliofungwa na Steven Gerrard.

Bao hilo lilidumu mpaka dakika 45 za kipindi cha kwanza zinakatika, lakini kipindi cha pili katika dakika ya 55, mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney alisawazisha bao hilo.

Thursday, July 17, 2014

TAIFA STARS YAPANDA NAFASI 7 VIWANGO VYA SOKA VYA FIFA, UJERUMANI YAONGOZA.

Last Updated 17 Jul 2014
Next Release 14 Aug 2014
RnkTeamPts+/- Pos
1 Germany17241Up
2 Argentina16063Up
3 Netherlands149612Up
4 Colombia14924Up
5 Belgium14016Up
6 Uruguay13301Up
7 Brazil1241-4Down
8 Spain1229-7Down
9 Switzerland1216-3Down
10 France12027Up
11 Portugal1148-7Down
12 Chile10982Up
13 Greece1091-1Down
14 Italy1056-5Down
15 USA989-2Down
16 Costa Rica98612Up
17 Croatia9551Up
18 Mexico9302Up
19 Bosnia and Herzegovina9172Up
20 England911-10Down
21 Ecuador9015Up
22 Ukraine898-6Down
23 Russia897-4Down
24 Algeria872-2Down
25 Côte d'Ivoire850-2Down
26 Denmark807-3Down
27 Scotland7340Equal
28 Romania7331Up
29 Sweden7243Up
30 Venezuela72010Up

Saturday, July 12, 2014

DIAMOND ATOA KIBAO KIPYA CHA "BUM BUM" AKIMSHIRIKISHA MSANII LYANYA TOKA NIGERIA. IONE VIDEO YAKE HAPA.

Baada ya Msanii maarufu wa Bongo flava nchini Tanzania Diamond kutamba na kibao chake cha "Number One" na kufuatiwa na kibao cha "Number One Remix" akiwa amemshirikisha Davido, sasa msanii huyo katoa kibao kipya kiitwacho "BUM BUM" akimshirikisha msanii kutoka Nigeria aitwaye Lyanya.
Ni hii hapa ndiyo video ya wimbo huo:

HII NDIYO VIDEO MPYA YA DIAMOND - MDOGO MDOGO

Friday, July 11, 2014

SIMBA SPORTS CLUB YAMSAJILI KIPA HUSEIN SHARIFF KUTOKA MTIBWA SUGAR.

Simba Sports Club chini ya Rais mpya wamefanya usajili wa wachezaji watatu,wawili watacheza chini ya miaka 20 akiwemo mtoto wa kipa wa zamani wa Yanga SC Manyika Peter. 

Pia wamemsajili mlinda mlango wa Mtibwa Sugar aliyekuwa kipa bora msimu huu kwa mkataba wa miaka miwili. 

Friday, March 21, 2014

ROBO FAINALI YA UEFA, MAN U vs BAYERN.

QUARTER-FINALS-1/2 AND 8/9 APRIL


BarcelonaBarcelona(ESP)
v
AtléticoAtlético(ESP)

Real MadridReal Madrid(ESP)
v
DortmundDortmund(GER)

ParisParis(FRA)
v
ChelseaChelsea(ENG)

Man. UnitedMan. United(ENG)
v
BayernBayern(GER)

Friday, February 14, 2014

VIWANGO VYA FIFA VYA SOKA DUNIA, TANZANIA YAPANDA NAFASI 2.

Last Updated 13 Feb 2014
Next Release 13 Mar 2014
RnkTeamPts+/- Pos
1 Spain15060Equal
2 Germany13140Equal
3 Argentina12550Equal
4 Portugal12191Up
5 Colombia1211-1Down
6 Switzerland11592Up
7 Uruguay1157-1Down
8 Italy1135-1Down
9 Brazil11251Up
10 Netherlands1122-1Down
11 Belgium11170Equal
12 Greece10840Equal
13 USA10441Up
14 Chile10381Up
15 England1032-2Down
16 Croatia9660Equal
17 Bosnia and Herzegovina9192Up
18 Ukraine9170Equal
18 France9172Up
20 Denmark9075Up
21 Mexico8870Equal
22 Russia8620Equal
23 Côte d'Ivoire841-6Down
24 Ecuador831-1Down
25 Sweden8211Up
26 Algeria8191Up
27 Slovenia7992Up
27 Cape Verde Islands7998Up
29 Serbia7751Up
30 Armenia7718Up

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...