Thursday, January 8, 2015

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE, HESABU ZA MASHIRIKA YA UMMA (PAC) YAKAGUA UKARABATI WA RELI YA KATI


Kamati ya Kudumu ya Bunge, Hesabu za Mashirika ya Umma (PAC) ilifanya ukaguzi wa ukarabati wa Reli ya Kati katika Wilaya ya Kilosa kwa kutumia Kiberenge 07/01/2015. Mwenyekiti wa kamati hiyo Mh. Zitto Zuberi Kabwe (MB) amesema "Zinahitajika tshs 500 bilioni kila mwaka kwa miaka 3 mfululizo kuweza kukarabati miundombuni ya Reli Tanzania ( Reli ya ratili 80 ). Ili kujenga Reli mpya kabisa ya ' standard gauge' zinahitajika $6.5bn .Kwa Nchi kama yetu, bila mtandao wa Reli madhubuti, Uchumi utakua kwa mwendo huu huu wa jongoo badala ya ukuaji wa kasi"









No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...