Thursday, August 28, 2014

Rooney nahodha England, Okwi rasmi Msimbazi.

Kocha mkuu wa Timu ya Taifa ya Uingreza Roy amemteua mshambuliaji wa Mancheter United Wayne Rooney kuwa nahodha wa timu hiyo ya Taifa hii leo.
Pia timu ya Simba imetangaza kumsajiri rasmi mshambuliaji wA Yanga Emmanuel Okwi kwa kupitia kwa Hance Pope.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...