Friday, December 6, 2013

HATIMAYE MZEE NELSON MANDELA AIAGA DUNIA .

Nelson Mandela mwaka 2008
Hatimaye Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela aiaga dunia usiku wa kuamkia leo akiwa na umri wa miaka 95 baada ya kuzaliwa mnamo mwaka 1918.
Habari kamili tutazidi kukuletea kadiri tutakavyokuwa tunazipata, endelea kutembelea blogu hii.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...